Ni kwa kiswahili mfano ualimu...tukija kwa yule anaefundisha hatusemi mualimu ....tunasema mwalimu...nilikutana na jamaa alinipiga shule tu kwenye mazungumzo ya kawaida ila sio mtaalamu wa lugha kivile
Ni kwa kiswahili mfano ualimu...tukija kwa yule anaefundisha hatusemi mualimu ....tunasema mwalimu...nilikutana na jamaa alinipiga shule tu kwenye mazungumzo ya kawaida ila sio mtaalamu wa lugha kivile