Kuachika na kuachana

Kuachika na kuachana

Biblia ina story nyingi, relevant na irrelevant. Story nyingi zinaelezea maisha ya jamii za huko huko ugalatiani. All in all Amri za Mungu ndo maagizo rasmi ambayo mungu ameagiza wanadamu wayafuate. Sasa niambie ni Amri ipi ambayo inazuia watu kuachana?
 
Bwana Yesu asifiwe


Watu wengi siku izi wanaogopa kuoana kwa kuhofia kuja kuachana, ikiwa hawajui km NDOA ni ulimwengu Wa FURAHA.

Kuachana in kitendo mke na mume kufikia hatua kukubali kuvunja mapatano ya kuendelea kuwa mke na mume.
LAKINI KIBIBLIA KTK KITABU CHA MALAKI 3:16 MUNGU ANAKATAA KUACHANA na HAKUNA KUACHANA.


KUACHIKA
Imezoeleka eti kusema mama Fulani kaachika, lkn sio kusema baba Fulani kaachika.
Kuachika ni kitendo cha mwanandoa mmoja kuamua kujiondoa kwny mahusiano au kwa mmojawapo kumkataa mwenzake.

NINAWAOMBEA VIJANA NA MABINTI WOTE WANAOHTJ KUONDOA KWA JINA LA YESU KRISTO, NINAHARIBU IYO roho ya hofu kuogopa kuingia kwny NDOA kwa Dmu ya YESU.
----NA wale waliopo kwny mahusino muda mrefu, sasa ninaachilia Neema ya kuoana kwa Jina LA Yesu Kristo. Ninakuunganisha na mume wako alyekusudiwa, ninakuunganisha na mke wako aliyekusudiwa kwa Mamlaka ya Jina LA Yesu Kristo.

Na kwa wale wanaopitia changamoto kwny NDOA, Ninaikemea iyo roho ya mafarakano,magomvi,chuki,kwa Jina LA Yesu Kristo, ninawapatanisha upya kwa Damu ya Yesu.


KAMA UMEGUSWA NA MAOMBI HAYO, TYPE AMEN

KAMA UNAHTJ maombi zaidi wasiliana nami kwa: 0786100772, au 0757856336 au 0673100772
Hiyo ID yako ni ya kweli?
 
kwan kuna ID ya uongo na ya ukweli??????? ilo sio jina kama unataka jina naitwa Mch. Emmanuel
Ukiwa mchungaji humu yafaa uweke real identity ukishaweka feki Na mie najua wewe ni feki. (Kwa suala la uchungaji)
Kuhusu ID feki mtafute Linamo atakujuza.
 
Bwana Yesu asifiwe


Watu wengi siku izi wanaogopa kuoana kwa kuhofia kuja kuachana, ikiwa hawajui km NDOA ni ulimwengu Wa FURAHA.

Kuachana in kitendo mke na mume kufikia hatua kukubali kuvunja mapatano ya kuendelea kuwa mke na mume.
LAKINI KIBIBLIA KTK KITABU CHA MALAKI 3:16 MUNGU ANAKATAA KUACHANA na HAKUNA KUACHANA.


KUACHIKA
Imezoeleka eti kusema mama Fulani kaachika, lkn sio kusema baba Fulani kaachika.
Kuachika ni kitendo cha mwanandoa mmoja kuamua kujiondoa kwny mahusiano au kwa mmojawapo kumkataa mwenzake.

NINAWAOMBEA VIJANA NA MABINTI WOTE WANAOHTJ KUONDOA KWA JINA LA YESU KRISTO, NINAHARIBU IYO roho ya hofu kuogopa kuingia kwny NDOA kwa Dmu ya YESU.
----NA wale waliopo kwny mahusino muda mrefu, sasa ninaachilia Neema ya kuoana kwa Jina LA Yesu Kristo. Ninakuunganisha na mume wako alyekusudiwa, ninakuunganisha na mke wako aliyekusudiwa kwa Mamlaka ya Jina LA Yesu Kristo.

Na kwa wale wanaopitia changamoto kwny NDOA, Ninaikemea iyo roho ya mafarakano,magomvi,chuki,kwa Jina LA Yesu Kristo, ninawapatanisha upya kwa Damu ya Yesu.


KAMA UMEGUSWA NA MAOMBI HAYO, TYPE AMEN

KAMA UNAHTJ maombi zaidi wasiliana nami kwa: 0786100772, au 0757856336 au 0673100772
Malaki 3:16 haiongelei mambo ya ndoa

16 Wakati huo wale wenye kumwogopa Yehova+ wakasemezana, kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kutoa uangalifu na kusikiliza.+ Na kitabu cha kumbukumbu kikaanza kuandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wenye kumwogopa Yehova na kwa ajili ya wale wanaolifikiria jina lake.+
 
Back
Top Bottom