PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,996
- 2,017
Aisee.. Hili ni jambo gumu. Nilkua na mpenzi wangu tuliodumu miaka 5, sasa amebadilka bila sababu, mawasiliano yamekua adimu kama kaka kuona. Anazima simu hata wiki mbili bila sababu maalum. Nafikiria kuachana nae kwa kumblock kila sehemu, kwa wenzetu wanaita 'ghosting'. Je wakuu nitakua nafanya sawa kama mtu hanitafuti hadi akiwa na shida. Yani level yake ya inconsistency imekuwa too much. Wadau naomba ushauri wenu
In essence we ndo unaachwa. Kwa hiyo tulia hapo uachwe. Usiseme we ndo umemwacha.
Mwanaume huezi muacha mwanamke coz huezi jua lini nanihii zitakupanda akusaidie kuzishusha. Kwa hiyo unamdemote to side chick tu!
Its rude and hard to swallow but hey, truth be told!
. Unadate Mwaka tu kama hajajua wewe ni mke unasogea pembeni.