Kuacha kazi

Kuacha kazi

Habari Wana JF natumaini muwazima
Naomba kuuliza niliajiriwa nimwenzi wa pili Sasa ila naona mambo yanaingiliana je? Kunauwezekano wakiacha kazi na baadae nikishakaa sawa nikarudi utumishi nikapambana tena kupata

Kama ni tamaa, acha , tulia kazini; unataka ushauri gani wakati unasema sababu? Kwamba tubashiri?
 
Toka waingie wengine!! Huta kaa uajiliwe tena serikali. Mkikosa kazi mnalia na mkipata KAZI eti mna mambo mengi sw.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
Naomba kuuliza niliajiriwa nimwenzi wa pili Sasa ila naona mambo yanaingiliana je? Kunauwezekano wakiacha kazi na baadae nikishakaa sawa nikarudi utumishi nikapambana tena kupata
Sababu hasa ni nini ya kuacha...!?
 
Dah ila jamani. Usiache tafadhali, omba likizo ya bila malipo
 
Back
Top Bottom