the kapex
Member
- Feb 4, 2011
- 35
- 2
Jamani naomba msaada wenu nilikuwa najalibu ku-unlock modem yangu vodafone k3565-z ili niweze kuitumia kwa laini tofauti na voda lakini sijui nimekosea wapi , nikiingiza kwenye computer yangu haionekani kwenye my computer lakini bado inakuwa inaonyesha ile taa ya rangi ya blue
Teacher Kapex
Teacher Kapex