Kwenye kuvaa wakenya ni aibu ya east africa!! Na lile jua la garissa unaweza kuta mjaluo kajichemsha kwenye likoti la sutu zile za kizamani kabisa, ile koti ukiiweka kwenye mizani ni kilo zisizopungua 12, vijana wa naii ndiyo hao wanavaaga midosho mwanzo mwisho, ukimkuta wa tofauti ujue eishi kampala au arusha au dar.