Pia inawezekana yeye kaikuta puzzle imeshapangwa vizuri mezani akaivuruga sasa anahaha kuirudisha kabla hajagundulika (kama mtoto vile!!!!)
Leo kuna mtu ataitwa ofisini kwa Tido Mhando. Na hivi kuna mkakati wakuzuia wafanyakazi wa serikali wasiwe na shughuli za pembeni!! (rejea thread ya Madaktari kuzuiwa kufanya kazi Private)