Kozi zipi hazina ajira?base in social science

Kozi zipi hazina ajira?base in social science

muneera75

Senior Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
190
Reaction score
318
Nashindwa kuelewa yani kwa aliyesoma arts advance akifika chuo anasoma kozi ambazo hazina ajira au?maana most of people wanasema hgl,hkl and hge hazina ishu. But why?
 
Ukifaulu vizuri n.a. kujichanganya hauwezi kosa kazi...tatizo no kwamba vijana wakiwa chuo wanarelax n.a. gentleman zao..halafu wanalalamika wakikosa kazi
 
Vi new comer vya chuo vingi mtaani

Msharudi toka kwa muhijibu yani mmemwagika mtaani mpaka shida

Mna mawenge tu saivi hamjui which z which

bana nyie fikeni chuo soma kitu itayokuja mbele yako
 
shida yetu bado tunasoma ili tuajiriwe, hatusomi ili tuongeze maarifa na tuyatumie kuingiza kipato na kubadilisha jamii, mimi nimesoma egm na nikapata bcom Accounts, sahivi napiga biashara zangu tu, anyways apart from science combinations, ndio zinahitajika ili usome vitu vya science mfano engineering na medicine,architecture etc , maana nimesoma na watu wa HKL ila nilikuwa nao accounts provided tu ulipata B ya mathematics O level , kwahiyo hiyo notion eti combi fulani haina ajira ni trash tu
 
anyways nicheki pm nikushauri zaidi mdogo wangu muneera
Nashindwa kuelewa yani kwa aliyesoma arts advance akifika chuo anasoma kozi ambazo hazina ajira au?maana most of people wanasema hgl,hkl and hge hazina ishu. But why?
 
Kila mwaka watu wanahitimu, kuna wanaoingia mtaani, wale wa ajira, wale wa biashara na wengine wanaongeza mwaka wa kusota mtaani wakisubiri muujiza wa ajira. Usitishike sana na masomo, tishika na future yako. Ni nani unataka kuwa na je, course utakayoichagua itakufikisha au itakubidi uifungie kabatini ili upate mlo wa siku pale utakapomaliza

Kama hujui nilichokiongelea bhasi usithubutu kuchagua course ambayo ni lazma uajiriwe ili iweze kuwa applicable.
 
Hakuna kitu kama hiko, hapo kinacho matter ni pass marks zako tu....!!

So kama ndio unajipanga kuingia chuo, just nenda kasome haswa.....acha ustista duuh. Then M/Mungu akikujalia ukamaliza vizuri, jijengee tabia ya kujichanganya......am sure utakuja hapa kuwaprove wrong!.

All the best Mune...
 
HGe hiyo kuna course kibao za kusoma, Business utasoma, economics etc. kama hujui cha kusoma omba tukusaidie mama
 
Soma actuarial science hutojutia. Ila una 1.5?
 
Nashindwa kuelewa yani kwa aliyesoma arts advance akifika chuo anasoma kozi ambazo hazina ajira au?maana most of people wanasema hgl,hkl and hge hazina ishu. But why?

hkl kasome edu ukafundishe kiswahili nje.......
 
Back
Top Bottom