Kozi zinazohusisha matumizi ya kompyuta..

ngotho

Senior Member
Jun 18, 2021
142
110
wakuu Habarini za saiz..
tumsifu yesu kristo..
Bwana yesu asifiwe...
salam alihekum...

wakuu wangu kuna swala dogo sana linanisumbua akili ... naombeni mnieleweshe ..
ivi kozi zote zinazohusisha matumizi ya kompyuta kv.. it, bachelor of sciences information technology.. computer sciences, ict.. etc.

swali.. hizo cozi kwa watu ambao hawana background ya computer for example.. mtu kasoma pcm, pgm, egm. na hge wanapoingia chuoni wanapigishwa introduction to computer in the first semister? au lecture ana assume unajua na kuanza na complicated concept moja kwa moja??
nimeuliza kwa sababu kozi zangu nilizochagua zote ni computer tupu na mimi nimesoma egm sina concept ya computer .. hapa inakuaje??
inawezekana mtu wa advance asiyekuwa na background ya computer aje alingane na aliyetoka diploma aliyeiaomea miaka mitatu??
kama haiwezekani.. kwa nini hizi cozi wanaruhusu wasiokuwa na computer background to stakehold them??
naombeni ushauri wakuu.. natanguliza shukurani
 
Mkuu pole ila kwa level yako ya elimu computer ni lazima kujua, nisikulaumu sana, kwa vile una access ya mtandao anza kujifunza then tafuta computer mahali uwe unajifunza kwa vitendo.

Ni kweli kila course semester ya kwanza mnasoma Computer Course ila introduction tu, labda kwa wanaochukua course za computer science, IT na ICT Management ndio wanaingia deep kwenye courses nyingine.

Kila la kheri Mkuu, muhimu komaa na shule tu, usichoke kujifunza wala usijione mnyonge maana semester ya kwanza wanaojua computer watakusumbua ila mbeleni mtaongea lugha moja tu, worry not.
 
wakuu Habarini za saiz..
tumsifu yesu kristo..
Bwana yesu asifiwe...
salam alihekum...

wakuu wangu kuna swala dogo sana linanisumbua akili ... naombeni mnieleweshe ..
ivi kozi zote zinazohusisha matumizi ya kompyuta kv.. it, bachelor of sciences information technology.. computer sciences, ict.. etc.

swali.. hizo cozi kwa watu ambao hawana background ya computer for example.. mtu kasoma pcm, pgm, egm. na hge wanapoingia chuoni wanapigishwa introduction to computer in the first semister? au lecture ana assume unajua na kuanza na complicated concept moja kwa moja??
nimeuliza kwa sababu kozi zangu nilizochagua zote ni computer tupu na mimi nimesoma egm sina concept ya computer .. hapa inakuaje??
inawezekana mtu wa advance asiyekuwa na background ya computer aje alingane na aliyetoka diploma aliyeiaomea miaka mitatu??
kama haiwezekani.. kwa nini hizi cozi wanaruhusu wasiokuwa na computer background to stakehold them??
naombeni ushauri wakuu.. natanguliza shukurani
Acha uoga, umefanya chaguo jema komaa!!

Ushauri.

Hizo kozi ukikaa unangoja ufundishwe kila kitu na mwalimu utatoka kapa!! Hizo kozi zinahitaji ujitume na usome! Itafika sehem youtube na google vitakua mwalimu wako! Usikate tamaa komaa!

Kila la heri!
 
Mkuu pole ila kwa level yako ya elimu computer ni lazima kujua, nisikulaumu sana, kwa vile una access ya mtandao anza kujifunza then tafuta computer mahali uwe unajifunza kwa vitendo.

Ni kweli kila course semester ya kwanza mnasoma Computer Course ila introduction tu, labda kwa wanaochukua course za computer science, IT na ICT Management ndio wanaingia deep kwenye courses nyingine.

Kila la kheri Mkuu, muhimu komaa na shule tu, usichoke kujifunza wala usijione mnyonge maana semester ya kwanza wanaojua computer watakusumbua ila mbeleni mtaongea lugha moja tu, worry not.
asante sana mkuu..
napenda sana bachelor of sciences in business information technology .. ila sasa nilikua najiuliza kuhusu hilo swala.. ila kukomaa nitakomaa mkuu
Acha uoga, umefanya chaguo jema komaa!!

Ushauri.

Hizo kozi ukikaa unangoja ufundishwe kila kitu na mwalimu utatoka kapa!! Hizo kozi zinahitaji ujitume na usome! Itafika sehem youtube na google vitakua mwalimu wako! Usikate tamaa komaa!

Kila la heri!
 
Acha uoga, umefanya chaguo jema komaa!!

Ushauri.

Hizo kozi ukikaa unangoja ufundishwe kila kitu na mwalimu utatoka kapa!! Hizo kozi zinahitaji ujitume na usome! Itafika sehem youtube na google vitakua mwalimu wako! Usikate tamaa komaa!

Kila la heri!
asante mkuu🤴 wangu nimekuelewa.. ngoja nianze mchakato wa kupiga computer course kabla ya kuingia..
nimekuelew asante..
ila mimi co muoga wa masomo mkuu wang.. nimesoma shule za kata primary mpaka advance ila matokeo yangu siyo mbali sanaa na wenzangu wa feza boys..
asante
 
asante mkuu🤴 wangu nimekuelewa.. ngoja nianze mchakato wa kupiga computer course kabla ya kuingia..
nimekuelew asante..
ila mimi co muoga wa masomo mkuu wang.. nimesoma shule za kata primary mpaka advance ila matokeo yangu siyo mbali sanaa na wenzangu wa feza boys..
asante
Amini kwamba hao wa Feza wanakuzidi mambo mengi.
 
Amini kwamba hao wa Feza wanakuzidi mambo mengi.
sikatai mkuu.. ila nime..quote hapo kuhusu uzembe.. ndo nakuambia mimi pia c mzembe kiivo mkuu..
ila all in all ntajikaza tu.. hakuna kinachoshindikana chini ya jua
 
mimi nimesoma ICT wala sikua na basic yoyote ya computer mpaka nilipoingia chuo aiseee computer inaitaji practical sana lazima ukubali kujifunza nje ya izo course za lecture cos mengi wanayofundisha wakwishapitwa na wakati kwasababu IT ina change usiku na mchana kwa ushauri jifunze sana computer Networking ,database na programming cos huo ndo msingi wa IT ususan kwenye System development
 
mimi nimesoma ICT wala sikua na basic yoyote ya computer mpaka nilipoingia chuo aiseee computer inaitaji practical sana lazima ukubali kujifunza nje ya izo course za lecture cos mengi wanayofundisha wakwishapitwa na wakati kwasababu IT ina change usiku na mchana kwa ushauri jifunze sana computer Networking ,database na programming cos huo ndo msingi wa IT ususan kwenye System development
asante sana mkuu..
em niambie nikasome kipande gani kwa kipindi hichi kifupi ili nipate mwanga hata kidogo mkuu
 
Mkuu pole ila kwa level yako ya elimu computer ni lazima kujua, nisikulaumu sana, kwa vile una access ya mtandao anza kujifunza then tafuta computer mahali uwe unajifunza kwa vitendo.

Ni kweli kila course semester ya kwanza mnasoma Computer Course ila introduction tu, labda kwa wanaochukua course za computer science, IT na ICT Management ndio wanaingia deep kwenye courses nyingine.

Kila la kheri Mkuu, muhimu komaa na shule tu, usichoke kujifunza wala usijione mnyonge maana semester ya kwanza wanaojua computer watakusumbua ila mbeleni mtaongea lugha moja tu, worry not.
asante sana mkuu..
napenda sana bachelor of sciences in information technology japo sina backround ya comp.. ila nitakomaa kweli kweli mkuu
 
Pambana kwenye kila chuo kuna kozi ya foundation za computer, wengine wanaita Introduction to ICT.

Hizi program za mambo ya computer ukiwa vizuri kwenye hesabu hakuna wakukubabaisha uwe umetoka Feza au umetoka shule za kata ukikaza unatoka vizuri tu.

kama unajua kutumia smartphone computer haiwezi kukushinda utazoea tu. Cha umuhimu nunua computer yako mapema ukianza masomo uizoee.
 
pambana sana kijana... usibweteke mda ni mchache mambo mengi

Pambana kwenye kila chuo kuna kozi ya foundation za computer, wengine wanaita Introduction to ICT.

Hizi program za mambo ya computer ukiwa vizuri kwenye hesabu hakuna wakukubabaisha uwe umetoka Feza au umetoka shule za kata ukikaza unatoka vizuri tu.

kama unajua kutumia smartphone computer haiwezi kukushinda utazoea tu. Cha umuhimu nunua computer yako mapema ukianza masomo uizoee.
asante mkuu kwa ushauri mzuri ..
napenda sana kuchezea kumpyuta.. i hope all do it better
 
asante sana mkuu..
napenda sana bachelor of sciences in business information technology .. ila sasa nilikua najiuliza kuhusu hilo swala.. ila kukomaa nitakomaa mkuu

A level nilisoma HGL chuo nikasoma bachelor of information management. Mwanzoni nilikua na wasiwasi kama wako lakini kiukweli sikukutana na maajabu yoyote hadi namaliza. Business information tech ilikua moja ya modules nilizosoma, kila la kheri mkuu umechagua course sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom