chaji
Member
- Sep 15, 2018
- 13
- 10
Habari ndugu zangu,....mimi ninaomba kwenu mchango wa mawazo kulingana na hali hali halisi ilipo kwa sasa , je nikozi gani ambayo mtu mwenye ufaulu alama D 4, ambazo ni kwa masomo ya Art isipokuwa somo la biology nalo lipo na kukamilisha hizo D4.
Naomba sana ushaur wenu je kozi ipi itafaaa
Naomba sana ushaur wenu je kozi ipi itafaaa