Kozi ya Ufamasia

Kozi ya Ufamasia

Zamani wengi walikimbilia BPharm ili auze cheti kwa watu wanaofungua mapharmacy ila wao hawataki kupractice kabisa ila Bpharm iko poa sana kama una mapenzi nayo kutoka moyoni yaani mbali na ajira kuserve jamii kwenye mahospital na community pharmacy zamani wakati sie tunaingia muhimbili miaka ya 2001 na moja kusoma bpharm ilikuwa easy kuswitch from MD to Bpharm and viceversa kwa sasa sijui imekaaje kwa ushauri soma ni kozi nzuri sana.
 
Duh ni kweli nmechaguliwa muhas broh... ko msuli wake unaeza kuwa kama wa medicine... na kazi unaajiriwa maeneo gani
Ulifanikiwa kutoboa? vipi hali ya kitaa unaionaje
 
Wewe nenda shule tu utayakuta.Lazima uwe na basic knowledge ya Anatomy,Physiology na Biochemistry..Hii ni bila kusahau somo muhimu la ethics and professionalism

Then utazama na yako haya
Medicinal Chemistry ambayo kimsingi ni organic chemistry
Pharmaceutics ambapo utajua maujanja ya akuformulate dosage forms..Hapa utajua kidonge kinatengenezwaje kuanzia mwanzo kabisa

Pharmacology...huyu ndio mama yao.Utajifunza dawa mbalimbali na namna zinavyofanya kazi mwilini,muingiliano wake na dawa nyingine,matumizi yake kimatibabu,na madhara yake kama yapo

Pharmacognosy utajifunza mimea na vitu vyote asilia vinavyoweza kutumika kama dawa.Utasoma botany hapa na mwisho wa mwaka mtaenda Tanga na Arusha kuishuhudia hii mimea

Na kadhalika

Dahh kitambo sana. Sasa ni miaka mitano ya ufamasia na Mungu anaendelea kuwa mwema kwa wafamasia. Vita ni kubwa sana hasa kutoka kwa wenzetu madaktari hasa kwenye suala la usimamizi wa famasi. Tuendelee kuipigania taaluma na kuonesha relevance yetu. Ndugu yangu mleta mada nina imani utakua umeshamalia shule.
 
Back
Top Bottom