Kwa mnaoifahamu naomba mnijuzs vizur kuhusu hii course nikimaanisha ajira yake na mshahara kwa mtu wa degree
Kwa mnaoifahamu naomba mnijuzs vizur kuhusu hii course nikimaanisha ajira yake na mshahara kwa mtu wa degree
Hongera kwa kuchaguliwa hii course.Ni kozi nzuri,ajira ni moja kwa moja ukitoka shule
Mshahara wake kwa mtu anaeanza ni TGHS D ambayo ni milioni moja na laki mbili na kumi na tano bila makato
Kama umechaguliwa Muhimbili inabidi ujipange kwa sababu kwenda pale is a gift lakini kutoka salama is a fight.Good luck
chuo gan?
Chuo gani?
Duh ni kweli nmechaguliwa muhas broh... ko msuli wake unaeza kuwa kama wa medicine... na kazi unaajiriwa maeneo gani
Msuli wake ni mkubwa kuliko wa medicine.Kazi unafanya hospitali,viwanda vya kutengeneza dawa,regulatory authorities kama Pharmacy Council na TFDA...Karibu Muhas upate stress
Hongera kwa kuchaguliwa hii course.Ni kozi nzuri,ajira ni moja kwa moja ukitoka shule
Mshahara wake kwa mtu anaeanza ni TGHS D ambayo ni milioni moja na laki mbili na kumi na tano bila makato
Kama umechaguliwa Muhimbili inabidi ujipange kwa sababu kwenda pale is a gift lakini kutoka salama is a fight.Good luck
Acha kudanganya wenzio mshahara sio milioni moja na laki mbili hebu jaribu kuangalia vizur salary grade za serikal sio unaropoka tu..
mbona kuna jamaa zangu walikimbia medicine kwenda pharmacy na dental surgery
Kwa muhas inawezekana kuhama from pharmacy to medicineHao walikimbia labda maslahi na sio msuli.utafika utajionea mwenyewe
Kwa muhas inawezekana kuhama from pharmacy to medicine