A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,098
- 1,498
Habarini za wakati huu wananzingo
Nimekuja kwenu kwa lengo la kutaka kupata uzoefu na kuongeza ujuzi zaidi katika kozi nikiyoitaja. Ombi langu kwenu ni kama yupo mtu anaeweza kunisaidia katika kupata maarifa hayo kwa maeneo ya Moshi naomba anitumie ujumbe PM
Asanteni natanguliza shukrani zangu kwenu
Nimekuja kwenu kwa lengo la kutaka kupata uzoefu na kuongeza ujuzi zaidi katika kozi nikiyoitaja. Ombi langu kwenu ni kama yupo mtu anaeweza kunisaidia katika kupata maarifa hayo kwa maeneo ya Moshi naomba anitumie ujumbe PM
Asanteni natanguliza shukrani zangu kwenu