Nasei Kenneth Edwards
New Member
- Jul 18, 2022
- 1
- 0
Habari zenu,
Nina swali kuhusiana na kozi ya architecture hapa Tanzania.
Kwa mwanafunzi ambae hajafanya combination ya science na anataka kusoma architecture, inawezekana?
Mwanafunzi mwenye issue kama hii afanyeje?
Asanteni
Nina swali kuhusiana na kozi ya architecture hapa Tanzania.
Kwa mwanafunzi ambae hajafanya combination ya science na anataka kusoma architecture, inawezekana?
Mwanafunzi mwenye issue kama hii afanyeje?
Asanteni