Naomba kujuzwa kama hii degree programme Bsc. Animal Science and production ya SUA inalipa?
Nataka kupata taarifa kama baada ya kumaliza kozi hii soko lake mtaani likoje?? katika kujiajiri au kaujiriwa??
Na kwa wale waliosoma kozi hii ni ngumu namna gani??
Asanteni.
Nataka kupata taarifa kama baada ya kumaliza kozi hii soko lake mtaani likoje?? katika kujiajiri au kaujiriwa??
Na kwa wale waliosoma kozi hii ni ngumu namna gani??
Asanteni.