Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Unaweza kutengeneza intercontinental missile icbm Kuna jamaa mhindi alitoroka na hela zetu kwenye project moja hivi yupo india

Sent from my I phone
Mnataka ya aina gani maana zipo nyingi mfano IRBMs, MRBMs. SRBMs TBMs
Kuna intermediate,medium,short range na tactical?Hizo SRBM's na MRBM's tunaziita TBM's yaani Theatre Ballistic Missile always has a range less than 3500km.Wahindi ni wataaramu wa kuunda agniV-ICBM mara nyingi zinatumia liquid propellant,solid fuel.Nyinyi mlimpa awatengenezee ipi kati ya hzo,itakuwa hamkumlipa Pesa nzuri nyinyi?
 
Nenda kwa CDF ongea nae kama una interest na Jeshi anaweza kukusaidia kitu.
Au nenda kwa Brigadier general yeyote zungumza nae akufikishie ujumbe kwa CDF naamini unaweza kuwafaa sana.

Brigadier general social ni yule Mbuge mkuu wa JKT hana shida mtafute mueleze kama ataweza kukusaidia kwa taaluma yako ukasaidie nchi kupitia jeshi.

Haya ni mawazo yangu binafsi, sio lazima kila mtu akubaliane namimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuge umjui ww eti yupo social miyeyusho yule jamaa afai kabisa ndugu zake aliotoka nao kijiji kimoja alishindwa waingiza jkt ndo sembuse ww uende akujui ww...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata DIT ni hivyo hivyo
UDSM chuo cha kijinga sana ,yaani kuna kozi walizipunguza mfano unakuta coz ilikuwa inaitwa Telecommunication and Electrical Engineering wakavunja wakafanya ni kozi zinazojitegemea,wakati vyuo vingine unakuta Telecommunication and Electrical Engineering kozi moja mfano St.Joseph University na baadhi ya vyuo.

Ss kwny soko la ajira ww Telecom wa UDSM inakula kwako inabdi ungoje nafasi ya Telecom itangazwe ndio u apply yule wa Stj yeye anapiga miguu miwili akiona tangazo la electrical anaweka Telecom anatupia yaani anatema mate kushoto anafukia kulia kama Ronaldo vile.

Wanakwambia tunawapika ili muive kwenye hzo fani mwisho wa siku watu wa UDSM wanaivia mtaani baada ya kupikwa chuoni
Hapo juu ni mfano tu watu wasi koti vibaya tafadhali ndio maana nimeweka wino mwekundu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakwambia.

Wito utapeleka watoto shule, au kulipia matumizi ya nyumbani au kunijengea nyumba ya kuishi.

Eti wito. Hamna kitu kama hicho. Msijidanganye.

Nchi za wenzetu madaktari wanalipwa vizuri kichizi, thamani ya kazi yao inatambuliwa.
Nyie huku mmekalia wito wito.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaambiwa kuna kazi za wito Udaktari na Uwalimu.Vijana wa siku hizi hamna Uzalendo kabisa hata kidogo,mnawaza mijihela tu.
🤣 🤣 🤣
 
Ushaambiwa kuna kazi za wito Udaktari na Uwalimu.Vijana wa siku hizi hamna Uzalendo kabisa hata kidogo,mnawaza mijihela tu.
Hapana hizo ni kauli tu za viongozi kuwakandamiza madaktari na kuwalipa mishahara kiduchu isyolingana na ugumu wa kazi.

Kenya tu hapo madaktari wanalipwa vizuri kichizi.

Bongo huku ni wito tu. Wito haulishi familia mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kozi karibu zote za social science (angalau advocates kidogo) ni chenga na za Biashara (angalau CPA s)
Kozi nzuri ni hizi
Za afya zote
Uhandisi wote
Land savey, wasanifu majengo,

Veternary
Mze baba ila hao wa socila science wanapiga pesa kwenye NGOs balaa..wanacheze 6 to 11m per month.
 
Hello wana JF .

Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.

Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.

Please share your experience about life after college.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu mimi hapa kaka ako ni Procurement Cordinator kwenye shirika flani la Kimataifa(INGO) Nakushauri life is too short. Nimepiga Public Admin, nikaja nikaweka na PGD ya procurement. Salary za kwenye NGOs zinajulikana. Ila kwa mwezi kwenye michakato ya hapa kule hapa kule naweka mpaka 45milion kwenye accounts. Jiongeze.
 
Back
Top Bottom