Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,252
- 5,319
Ile milioni moja ya 'kutundika' cheti? Na mshahara wa 1.25 M wizarani?? Kuna pesa hapo?Umekwamaa wapi mzee Pharmacy helaa nje nje kijanaa...
Umaskini mtupu.
Ile milioni moja ya 'kutundika' cheti? Na mshahara wa 1.25 M wizarani?? Kuna pesa hapo?Umekwamaa wapi mzee Pharmacy helaa nje nje kijanaa...
Kwa hiyo mkuu unataka mshaara uanze ngap?Ile milioni moja ya 'kutundika' cheti? Na mshahara wa 1.25 M wizarani?? Kuna pesa hapo?
Umaskini mtupu.
Nenda kasome unangoja nini mkuuKwa mimi baada ya kumaliza Medical Degree naona ningesoma Dental Surgery, ingekuwa poa sana
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Human resources management
HahahaNenda kasome unangoja nini mkuu
Kipi mkuu mbona raia wanakula shavu na MD zaoHahaha
Kilichonifanya Médecine, nitarudi shule kusomea upishi tu
Yeah sure ila wanaosifia ndio wanafaidika sana Tz hiiKipi mkuu mbona raia wanakula shavu na MD zao
Au mkuu upo halmshauriYeah sure ila wanaosifia ndio wanafaidika sana Tz hii
Dah mkuu, si tunaona wanavyotuendeshaAu mkuu upo halmshauri
Diploma of Music(Singeli)Hello wana JF .
Unakuta umesoma kozi ambazo either ulijikuta tu comby imebalance au kwa kua zilikua na priority ya mkopo lakini hazikua chaguo lako.
Baada ya kuhitimu ukaingia kitaa ukakuta things on the ground are not as you thought. Kozi uliosoma haina market.
Please share your experience about life after college.
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu omba msamaha! Na usomi huo umeshindwa ku link hata viduka vya dawa vi5 vikupe 250000 au 200000 kwa kuninginiza cheti?Pharmacy.
Kozi la kipimbi na kimaskini sana i wouldnt recommend.
Embu omba msamaha! Na usomi huo umeshindwa ku link hata viduka vya dawa vi5 vikupe 250000 au 200000 kwa kuninginiza cheti?
Pharmacist huyu huyu au unazungumzia dispenser muuza dawa (certificate)?
Embu omba msamaha! Na usomi huo umeshindwa ku link hata viduka vya dawa vi5 vikupe 250000 au 200000 kwa kuninginiza cheti?
Pharmacist huyu huyu au unazungumzia dispenser muuza dawa (certificate)?
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa...... Muulize mtumishi anayeishi na 500k au chini ya hiyo anaishije......Matakwa ya kufungua/anzisha "viduka vya dawa" hayahitaji viwe linked na mfamasia wala haihitaji usimamizi wa mfamasia. Na hata hiyo famasi anayosimamia, maximum ni moja kwa mfamasia na pesa yake imekua haizidi milioni moja siku hizi tofauti na zamani. Sasa ndugu yangu kwenye milioni moja kuna maisha kweli? Ushachungulia upande wa pili ukaona mambo yalivyo? Sawa mfamasia endelea kuendesha hako kasubaru kako na uvimbe kwa milioni moja unayopewa kwa kusumbuliwa na owner anaeingiza milioni sita kwa mwezi.