batan
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 417
- 364
Acha kujidanganya yakuwa mpo Wawili, unajua Makamu wa rais Hatibu Bilali Yule Mzanzibar, Nae anataaluma kama yako,Nimesomea Masters in Atomic Engineering nje ya nchi kule Pakistani.
Binafsi nina ujuzi wa kutengeneza mpaka mabomu ya atomic na nishati ya atomic ila nipo kitaa nimetulia napiga udalali ,kupata kazi labda niende Marekani au Iran.
Nangoja siku Tanzania tutakapoanza tengeneza umeme wa uranium hapo ndio utaona Magufuli au rais ajaye ananipigia sim moja kwa moja nakula kitengo cha mabomu na umeme.
Wenye ujuzi huu kwa Tanzania tupo wawili tu mm na jamaa yangu na wote tupo kitaa hatuna habari .
Kuna jamaa yangu kasoma Bachelor fulani hivi, yaani hata wakitangaza nafasi za kazi hawajawahi kuitaja
Kuna nchi niliishi hapa Africa nikakuta wana mtaara unaotoa "Bachelor of Science in Witchcraft "yaani mambo ya uganga na uchawi na ukienda hospital zao kuna hicho kitengo kama ugonjwa umeshindkana hospital kuna wodi ya waliorogwa .
Ushawai kuwaza kitu kama hicho kipo duniani??
Serikali ingebidi iongeze huu mtaara kama vp wafute baadhi ya kozi waongeze hii itakuwa na soko sana mtu anaweza hata kujiajiri kirahisi.
Ndugu sana anazidiwa na diploma water engineer
Ni wachache sana mkuu.Mze baba ila hao wa socila science wanapiga pesa kwenye NGOs balaa..wanacheze 6 to 11m per month.
Bachelor gani mkuuKuna jamaa yangu kasoma Bachelor fulani hivi, yaani hata wakitangaza nafasi za kazi hawajawahi kuitaja
umesomea chuo gani Mkuu?
Biomedical engineering
Unategemea na lengo lako kama ni kufungua pharmacy ni sawa kazi inakuwa ni pa kusakia mtajiMedicine doctor. Kozi gumu miaka Sita shule halafu mshahara mdogo kuliko hata aliesoma kozi ya miaka mitatu huku akila bata chuoni.
Sishauri Kabisa mtu asome kozi hii
Kwa mimi niliyesoma kozi tofauti na environment ..tano sina degree ya mazingira, Nina degree engine kabisa..naweza somea izo short kozi?Ukishasoma kozi yoyote ya Environmental ..
Ili watu wakuogope inabdi usome short kozi kama NOSCH hii kozi inatolewa na serikali kila mwaka kupitia OSHA kupata ratiba nenda kwny website zao ,ukimaliza hiyo soma IOSH Managing Safely hii ni Online kozi unalipa kama 400,000/=
Ukimaliza soma NEBOSH (igc) international General Certificate
hii nayo ni online kozi .Hapo unakuwa umetimia sasa hakuna wa kukunyima kazi.
Hata kama hauna Degree hizo short kozi unaweza ukasoma ,hiyo NEBOSH (igc) ukiwa na cheti chake mwenye degree akukamati maana hiyo ni kozi ya kimataifa,kama mpenda sifa kasome na SAMTRAC inatolewa South Africa na NOSA hizo zote ni kozi zinazotambulika kimataifa .Kitaifa ni NOSCH .
Ni kweli bro, accounting uwezi kosa maisha aise..Ila accounting ukiotea pande pazuri umetoka! Hamna kitu najutia kama kutosoma uhasibu, sidhani kama ningekuwa uraiani mpaka leo.
Plan ni kutafuta hata ka Postgraduate diploma kake baadae.
Bro niunganishe na uyo sister anipe ata kazi ya kufagia..Wapo zenji huku wanipiga hela chafu mkuu. Maisha hayana formula. I know a girl who was working as a house keeper in a hotel and then got in a relationship na mzungu, kaolewa official marriage sasa hivi ni boss wa hotel hiyo wacha kabisa
Dah bro naku pm apoMkuu ukiona kazi zinatangazwa nne usifikiri kwamba hilo eneo halilipi hapana linalipa sana sema watu hawajajua hizo kazi zinapatikana wapi.Ukiwa na utaalam kama huo unaweza kufanya kazi kwenye hata makampuni local yanayohusika na mafuta na gas,unachotakiwa tu na kujiongezea ujuzi wa ziada.
Sio lazima ukisoma GEOLOGY uwe mchimba madini.Unaweza kuwa mtafiti(Free lance)Unaweza kuwa Broker,unaweza kuwa mshauri(consultant) unaweza kuwa anything kwenye sekta ya madini mradi uwe na utayari na uelewa.Iwapo unahitaji ushauri wa namna ya kubadili eneo lako la usomi kuwa fursa basi tuwasiliane kwa email au pm.Maisha ni kupambana
Procurement mkuuTaja kozi uliyosoma mm nitakupa proffesional short courses zake
Nani kakwambia.
Wito utapeleka watoto shule, au kulipia matumizi ya nyumbani au kunijengea nyumba ya kuishi.
Eti wito. Hamna kitu kama hicho. Msijidanganye.
Nchi za wenzetu madaktari wanalipwa vizuri kichizi, thamani ya kazi yao inatambuliwa.
Nyie huku mmekalia wito wito.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa aliyepiga kozi tofauti na uhasibu hawezi piga hii masters?Kuna masters ya finance or accounting in criminology
Sijaona chuo cha tanzania kinachotoa,hii masters ina soko sana ila watu wengi hawajaijua.
Kwa mtu akiyemaliza bachelor ya uhasibu akapiga hii masters ana opportunity kubwa sana kupata kazi sehem tofauti bila shida..
Unasoma tu,kwa nyongeza kunawatu wanajiita International Institute of Safety and Risk Management (IISRM) .Kwa mimi niliyesoma kozi tofauti na environment ..tano sina degree ya mazingira, Nina degree engine kabisa..naweza somea izo short kozi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Level gani umesoma?