Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?

Kumbe hujafika chuo bac acha ushabwada kudandia fani za watu, kozi zote zinazotolewa na tcu zina fursa kubwa ya ajira hapa nchini na duniani kwa ujumla naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200128-151445.jpeg
 
Ni kweli, TCU sio wajinga wapitishe kozi af isiwe na maslahi kwa wataoisoma!?. Mi naona kozi zote zina tija na itategemea na wewe mwenyewe ulieisoma io kozi utavo pursue changamoto na ku win.
Kumbe hujafika chuo bac acha ushabwada kudandia fani za watu, kozi zote zinazotolewa na tcu zina fursa kubwa ya ajira hapa nchini na duniani kwa ujumla naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom