Abdallah iddy
New Member
- Oct 26, 2016
- 4
- 2
Mimi no kijana was form 6 PCB natarajia kufanya mtihani was taifa may2017. Nikikaa shule na wenzangu hua tunajadiliana maswala ya kozi
Wengi was rafiki zangu wanapendelea md Mimi npo tofauti nao.Nmechunguza kuna kozi inaitwa Diagnostic Radiograph.Nmeangalia vyuo vya tz hamna ila muhas wana diploma na kwa east Africa no Uganda tu wanayo. Je wadau mnaionaje hii kozi kwa sababu nnajiaandaa vya kutosha na uwezo nnao wakihali na wazazi wanao kimali Mimi kusoma hii kozi na no miaka 3.je mnanishauri vp ipi bora kati ya hizo? Naombeni ushauri ili nisihangaike baadaye. Niwe direct
Wengi was rafiki zangu wanapendelea md Mimi npo tofauti nao.Nmechunguza kuna kozi inaitwa Diagnostic Radiograph.Nmeangalia vyuo vya tz hamna ila muhas wana diploma na kwa east Africa no Uganda tu wanayo. Je wadau mnaionaje hii kozi kwa sababu nnajiaandaa vya kutosha na uwezo nnao wakihali na wazazi wanao kimali Mimi kusoma hii kozi na no miaka 3.je mnanishauri vp ipi bora kati ya hizo? Naombeni ushauri ili nisihangaike baadaye. Niwe direct