jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Kumbe kuna watu walitaka kuvuruga amani ya nchi wakiwatumia hata watu wasio watanzania ...hii ni aibu!
Kuna kikundi cha watu kimekamatwa kikiwa na karatasi za matokeo na wanaonekana kutoa taarifa za matokeo utadhani wao ni NEC.
Hongera kwa jeshi la polisi
Kuna kikundi cha watu kimekamatwa kikiwa na karatasi za matokeo na wanaonekana kutoa taarifa za matokeo utadhani wao ni NEC.
Hongera kwa jeshi la polisi