KOSOTA Mwanza mnahujumiwa.

Kibwagizo

Senior Member
Mar 21, 2012
130
8
Ni toka jana ndani ya jiji la Mwanza kuna watu wakishirikiana na Polisi wanazunguka wakidai wanashika wahujumu kazi za wasanii.
Mambo yanayowafanya watu waamini kuwa ni matapeli:
#Wakiojiwa maswali wanakimbia.
#Wanatanguliza kidogo hadi 50000 na ukishawapa wanakuacha ukiendelea kupiga kazi.
-Kwa hili wasanii na Kosota funguka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom