Kibwagizo
Senior Member
- Mar 21, 2012
- 130
- 8
Ni toka jana ndani ya jiji la Mwanza kuna watu wakishirikiana na Polisi wanazunguka wakidai wanashika wahujumu kazi za wasanii.
Mambo yanayowafanya watu waamini kuwa ni matapeli:
#Wakiojiwa maswali wanakimbia.
#Wanatanguliza kidogo hadi 50000 na ukishawapa wanakuacha ukiendelea kupiga kazi.
-Kwa hili wasanii na Kosota funguka
Mambo yanayowafanya watu waamini kuwa ni matapeli:
#Wakiojiwa maswali wanakimbia.
#Wanatanguliza kidogo hadi 50000 na ukishawapa wanakuacha ukiendelea kupiga kazi.
-Kwa hili wasanii na Kosota funguka