Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
- Thread starter
-
- #21
Labda kitendo cha kufungia safari msiba ndo kilimstua kuwa sasa umemuwin mumewe, na wanae. Na unatafuta umaarufu kwa ndugu wa mumewe.
Kumbuka ameishi miaka mingi kwenye hiyo familia, na atakuwa ameshagongana na baadhi ya ndugu wa mumewe. Labda alihisi unajiuza ukubalike.
Honestly, kama ni mie nafadhiliwa hapo ningeweka kadistance flani kati yangu na baba mlezi
Ndugu yangu Mbu, Unataka kusema tunapotaka kuwasaidia watu tuangalie jinsia? Yule mama kama alikuwa ana doubt na mie angelifanya uchunguzi ili kupata ukweli na sio kukurupuka.
Kwanini unahisi kwamba malipo ya fadhila yangeishia kwenye mapenzi?
Ndugu yangu Mbu, Unataka kusema tunapotaka kuwasaidia watu tuangalie jinsia? Yule mama kama alikuwa ana doubt na mie angelifanya uchunguzi ili kupata ukweli na sio kukurupuka.
Kwanini unahisi kwamba malipo ya fadhila yangeishia kwenye mapenzi?
Nashuku sana kwa ushauri ndugu BAK, Ningelikuwa na uwezo wa kumfanya yule mama aamini kuwa hakukuwa na kitu chochote nyuma ya pazia ningelifurahi sana. Lakini uwezo huo sina.
Hii issue imekuwa ikinisumbua sana kichwani.
Dada yangu sijui wala siwezi kujua kama kulikuwa na tatizo katika familia yake. Lakini kumbuka kuwa mie nilikuwa naishi mbali sana (nimetumia miji isiyohalisi ili kuwaelewesha) kiasi kwamba baada ya yule baba kupata uhamisho ilinichukua takribani mwaka mzima ndipo nikafunga safari kwenda kumsalimia.
Unampa huyo mama big up kwa kukurupuka au? Je ningemwambia anipe ushahidi wa mahusiano yangu na mumewe je angeweza?
Mkuu ndio dunia yetu ilivyo siku hizi. Ubinadamu wa kusaidiana umepotea kabisa. Huyo Baba baada ya kusikia historia ya maisha ikawa imemgusa na kwa kuona alikuwa ana uwezo wa kukusaidia ili kunyanyua kiwango chako cha maisha basi hakusita kufanya hivyo. Akaamua na kukutambulisha nyumbani kwa mkewe na watoto ili kuhakikisha kwamba hakuna lolote atakalolifanya kwako kwa kifichokificho, lakini kwa kuwa dunia yetu siku hizi ni tambara bovu basi hitimisho la kwanza la Mama mwenye nyumba ni kwamba kulikuwa na mahusiano ya kimapenzi kati yako na yule Baba kitu ambacho hakikuwa na ukweli kama ulivyoelezea.
Mama angeweza kabisa kufanya uchunguzi kufikia hitimisho la kweli na kwa kuwa wakati mwingine ulikuwa ukisafiri na mchumba wako kwenye familia ya huyo Baba hiyo ingesaidia pia kuonyesha hakukuwa na mahusiano ya kimapenzi lakini ndiyo hivyo tena. Si ajabu hata ungekuwa Mwanaume yule mama bado hitimisho lake lingekuwa ni negative kwamba Mumewe amejiingiza katika mahusiano ya jinsia moja vinginevyo haiwezekani kumpa msaada mtu ambaye hauna nasaba naye hata ya kuunga na gundi. Pole sana.
...akawa mteja wetu mzuri kiasi kwamba hawezi kumaliza siku mbili hajaja kufanya kazi zake. Hata kama hana kazi ya kufanya alipita kutusalimia. Yule baba alinipenda sana .....
King''asti asante kwa ushauri. Lakini kumbuka yule yule binti ndiye alikuwa karibu sana na mimi kiasi kwamba nilimueleza mahusiano yangu. na nilipopita kwenda Bagamoyo nilikuwa nakwenda likizo na mchumba wangu na wote walilitambua hilo. Je hiyo haikutosha wao kuelewa kuwa hakukuwa na uhusiano kati yangu na yule baba?
Thank you... Baadhi yetu tunakua too naive nankusahau tuko dunianiNitakuwa muwazi kabisa kwako. Ulijiingiza sana pua yako pasipohusika. Tungekuwa tunafahamiana ningekuonya hili toka mwanzo manake ningeliona ujio wake. Kulala kwa watu is deep!
Ni sawa kutambulishwa kwa familia nzima. Lakini habari ya wewe kuja kulala nyumbani kwangu wiki nzima. Na uje kulala kwangu tena! Ingekuwa sawa kwenda kusalimia na kula dinner ama lunch tu, lakini sio kulala. Na kilichomuumiza zaidi nadhani ni mwanae kuja na mjukuu kukaa kwako wiki.
Mbu, asante kwa kuwa honest. Viatu vya huyo mama vingem'bana mwanamke yeyote. Hata tuwaulize wanaume humu jf:
mkeo anamfadhili kijana muda wote, na hatimae unakutana nae na unaambiwa alilala kwako wiki wakati haupo. Japo na wanao walikuwepo. Ukimuangalia kijana ana six pack, na wewe kitambi kiko mahali pake!
Pole sana,
swali hapa ni je kama baba mlezi angeomba?
ungekuwa na ubavu wa kumnyima?
Good question....Pole sana,
swali hapa ni je kama baba mlezi angeomba?
ungekuwa na ubavu wa kumnyima?
kazi ipo.
Ngumu kumesa, kama anakufadhili badi akuadopt uje uishi kwetu mazima.
.....lol
Dada'ngu huyu is either too naive, au too smart penye "kula na kipofu." 😀