Kosa la Rugemalira ni nini ?

Kosa la Rugemalira ni nini ?

jMali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
8,412
Reaction score
5,013
FACTS:

1. James Rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya PAP kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

MASWALI:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na PAP hizo hisa kama wangeafikiana bei! PAP wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? IPTL sio kampuni ya umma, PAP sio kampuni ya umma, VIP sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona Rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa James Rugemalira upo wapi.
 
Wizi wa Rugemalila ni kupewa pesa kutoka ESCROW TEGETA account ya uma badala ya kulipwa kutoka kwa singasinga upo hapo???

Rugemalira kauza hisa PAP sio escrow, hajalipwa na escrow kalipwa na PAP.
 
Kosa lake jingine ni kuwahonga majaji wa mahakama kuu na waziri mmoja wa serikali katika malipo ambayo yanatia shaka saaaaanaaa!

kuwahonga kwa nini? yeye anamiliki 30% ambazo zina thamani hiyo ya 75mi USD. Sasa hapo ahonge ili iweje? kwani singasinga asingenunua yeye angeumia kivipi? Na je, hao majaji na mawaziri wanahusika vipi na ununuzi wa hisa wa PAP from VIP?
 
yeye hakupokea fedha kutoka kwenye mfuko wa pap bali amepokea fedha zilizoibiwa bot huku yeye mwenyewe akijua kuwa zinaibiwa

kuhamishwa kwa fedha toka escrow kwenda PAP hakukuwa siri, TANZANIA NZIMA ILIJUA kuwa fedha zimehamishwa. BOT wenyewe si ndio waliosaini? sasa hapo utalazimishaje kuwa fedha za PAP ziwe za wizi?
 
Tumia akili ndogo.

PAP ilinunua 70% ya hisa zote kwa U$75 milioni na TZS 6 milioni. Ikiwa pesa katika account ya Escrow zilikuwa ni za IPTL kama PAP na Rugemarila wanavyodai ina maana IPTL iliyokuwa ina pesa USD 220 milioni iliuzwa kwa PAP kwa U$75 milioni na TZS 6 milioni. Hivi ni mpumbavu gani anauza USD 220 milioni kwaajili ya kupata USD 75 milioni?

Ndiyo maana wachunguzi na CAG waliona dhahiri kuwa Rugemarila alikula njama na Singasinga, wakachota USD220 milioni, Rugemarila akapewa USD 75 milioni kutoka kwenye ile USD 220 milioni ya TANESCO. Lakini ndani ya hiyo USD 75 milioni ilikuwemo pia hela ya akina Muhongo, Maswi, Lukuvi, Werema, Ngeleja, Mujulizi, Tibaijuka, Luoga, na wengine wote waliosaidia huo wizi kuwezekana.

Sina shaka kuwa ile aliyobakia nayo Singasinga USD USD 145 milioni ilikuwemo pia ya highest nation profiles. PAP hajainunua IPTL bali aliitwa ili kukamilisha wizi, na kisha aiendeshe IPTL. Hii aliyochukua Singasinga waliogawiwa hawawezi kuonekana kwenye ripoti za benki ya Mkombozi bila shaka kwa vile malipo hayakutumia mabenki ya ndani.

FACTS:

1. James rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya PAP kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

MASWALI:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na PAP hizo hisa kama wangeafikiana bei! PAP wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? IPTL sio kampuni ya umma, PAP sio kampuni ya umma, VIP sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona Rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa James Rugemalira upo wapi.
 
FACTS:

1. James rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
.

Mh!
anayekutuma hajuhi kitu muambie tunajua zaidi yake.

IPTL ilishakuwa MUFILISI na KUWEKWA chini ya RITA.
Sasa yeye kauza hisa zipi na kampuni ilishafilisiwa kwa sababu thamani yake ni ndogo kuliko madeni inayodaiwa.
 
Back
Top Bottom