Kosa la nani?mapenzi yanauma vibaya

Kosa la nani?mapenzi yanauma vibaya

leez salu

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
35
Reaction score
8
Naitwa tina nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa baraka.tulidumu kwa mda mrefu sana.hakuwa na kazi nikipata vihela kidogo namrushia.tupo mikoa tofauti mi ni mwanachuo.namtumia nauli anakuja mkoa naoishi nachukua lodge namlisha kwa gharama zangu nampa nauli ya kurudia.mwezi wa 5 alisikia tetesi natoka na mvulana mwingine anaitwa juma.haikuwa kweli ila marafiki ndo walimpa taarifa.akaja gafla kuhakikisha kma kweli wakagombana na juma nkaeleza ukweli yakaisha.nkampa nauli akarudi mkoani kwake.alikuwa anasumbua kunitaka nimtumie salio au hela.wakati mwingine hata mm nakosa.juma akawa ni rafiki yangu ananishauri ananambia nivumilie tu kwa kuwa nampenda.mwezi wa kumi mwishoni baraka akaomba aje kunisalimia nkamtumia nauli akaja akafanya upelelezi wake akapata namba ya juma wakakutana.wakaongea yakaisha sasa baraka akaanza kummwagia juma mastory yake yoote na madem zake anavyoishi eti ananilipia mimi nusu ya ada.kaninunulia cm lakini siridhiki.mengi ya uongo na kujikweza.juma akaja kunieleza yote hayo.baraka kimya tu.kukawa na karibu mwaka wa kwanza baraka hakunambia akaja chuo kuonana na juma wameshakuwa marafiki hivyo.juma akamtambulisha kwa mademu mbalimbali.sherehe ikaisha mi sijui lolote.tunawasiliana tu mi akanambia karudi mkoani kwake.juma anasema yupo.
 
Inaendelea:
baada ya siku mbili akarudi mkoani kwake.tukawa tunawasiliana vizuri tu.kumbe anaendelea kuchat na juma.juma yotee ananambia nkimuuliza baraka unachat na juma anasema siwezi jamii itanishangaa mimi.basi akamuomba juma amuunganishie kwademu mmoja hivi anaitwa dory.juma akantel nkamwambie mtumie namba anayoitaka akamtumia.mawasiliano kwangu yakapungua kumbe yupo busy na dory.basi nkawa naumia navumilia.akinitafuta mimi ni shida tu ndo ananambia.akaja mkoa wangu bila kunambia akamwambia juma tu.juma akanambia mimi.kaja jumamosi ijumaa ananipigia simu nimeingia leo nimeona nije kukuona mke wangu niko hapa geti la chuo njoo.mi nakaa hostel za ndani.kweli nkaenda tukaonana ila tukaishia kugombana.akaamka akaondoka zake namuita wapi basi mi nkarudi bwenini kwangu.kumbe alipanga akutane na dory so mimi ilikuwa ni kizugio.akampigia juma njoo umuone shemeji yako.juma kwenda dory akaondoka kwa aibu.wakabaki wanaongea juma akamuuliza vp tina mmeonana baraka akasema hapana. sijamtafuta hata.kesho yake tukakutana na jum akanieleza yote.bahati nzuri nilirekodi mazungumzo yetu na baraka nkamsikilizisha juma.nafupisha ilitokea tukagombana alinitukana sana akasema alifuata pesa sina vigezo vya kuwa nae.na bado atawachezea wote wenye shobo na umarioo ndo habar ya mjini.asante kwa juma ndo mpenzi wangu.ananipa furaha kanisahaulisha yote.(majina sio halisi imemtokea roommate wangu)
 
Nice love story, especially the happy ending part!
 
Kwanza kabisa wee noumer, toka nijiunge jf sijawahi kusoma uzi wa design yako hapo kwenye (inaendelea...)

Pili, kama mnaishi kwa raha na huyo Juma its fine lakin kwa maoni yangu, wewe ndio chanzo cha yote yaliyofanya baraka abadirike kwasababu ilikua ngumu kwake kuamini urafiki wenu na Juma na alilazimika kusema uongo kwa Juma ili asipate fedheha kwa Juma kwamba una mlea.

Badala ya kusaidia kumlinda baraka ukashiriki kumsaidia ampate dory, elewa baraka alifanya hivyo si kwa mapenzi yake ila ni maumivu aliyokua anapata kutokana na ukaribu wako na juma.

Mwisho: Ulitakiwa usiingie kwenye mahusiano na juma ili kurinda heshima ya baraka ingawa ni ngumu maana juma alipata nafasi ya kufaham uzuri wako kutokana na ugomvi wenu na akatumia fursa. Kuingia kwenye mapenzi na mtu uliye karibu naye sana ni jambo zuri coz mnakua mmefahamiana vizuri ingawa kwa aina yenu hakua sahihi.
Hivyo ukiwa unasheherekea Xmas kila siku ya mahusiano yako na juma, subiri reaction ya baraka siku moja hapo ndio utajua MAPENZI NI KIZUNGUMKUTI!
 
Mmmmh..... Juma.....,Baraka ........Imekaa kama zile hadithi za kina Daudi na Neema. Umetaka ushauri au Umetushauri.
 
Kama kweli haukumpenda Juma toka mwanzo mbona uliishia kwake? Na ni nani alimtongoza mwenzie kati ya wewe au Juma? Baraka alikua sahihi kwa Juma maana tentionzote ulizipeleka kwa Juma. Pia hii ni story ya upande mmoja akija Baraka hapa anaweza kuja na hadi picha zenu za utupu na huyo Juma na yawezekana mlikua mnalala wote baada ya discussion room kwake.
 
Kwa hali ilivyo inadhihirisha ni kweli ulikuwa na juma. Maana katika stori yako inaonyesha ni kwa jinsi gani mlivyoshibana na juma. Ila kaa ukijua juma ni mvurugaji wa kwanza kwenye mapenzi yako na baraka na pia atakuacha hewani maana aneshajua wewe unafata maneno ya watu zaidi
 
Nyie watoto acheni umalaya kasome kwanza,wewe ni malaya tu huna lolote,uko shule,bado tu unajitapa eti sasa hivi niko na Juma,shame on you!!Na huyo Juma ni bora umpe kanga avae na yeye ni mwanamke tu,wanaume hatuko hivyo,eti kila anachoambiwa na Baraka anakuja kukuambia!Soma nyie watoto,acheni umalaya!!Wote,Baraka,Juma,na wewe ni malaya tena wewe ni kachangudoa,Someni jamani,wazazi wenu tunajinyima msome,wewe ndo za kumhongea Baraka nauli ya kuja kukugegeda!
 
Naitwa tina nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa baraka.tulidumu kwa mda mrefu sana.hakuwa na kazi nikipata vihela kidogo namrushia.tupo mikoa tofauti mi ni mwanachuo.namtumia nauli anakuja mkoa naoishi nachukua lodge namlisha kwa gharama zangu nampa nauli ya kurudia.mwezi wa 5 alisikia tetesi natoka na mvulana mwingine anaitwa juma.haikuwa kweli ila marafiki ndo walimpa taarifa.akaja gafla kuhakikisha kma kweli wakagombana na juma nkaeleza ukweli yakaisha.nkampa nauli akarudi mkoani kwake.alikuwa anasumbua kunitaka nimtumie salio au hela.wakati mwingine hata mm nakosa.juma akawa ni rafiki yangu ananishauri ananambia nivumilie tu kwa kuwa nampenda.mwezi wa kumi mwishoni baraka akaomba aje kunisalimia nkamtumia nauli akaja akafanya upelelezi wake akapata namba ya juma wakakutana.wakaongea yakaisha sasa baraka akaanza kummwagia juma mastory yake yoote na madem zake anavyoishi eti ananilipia mimi nusu ya ada.kaninunulia cm lakini siridhiki.mengi ya uongo na kujikweza.juma akaja kunieleza yote hayo.baraka kimya tu.kukawa na karibu mwaka wa kwanza baraka hakunambia akaja chuo kuonana na juma wameshakuwa marafiki hivyo.juma akamtambulisha kwa mademu mbalimbali.sherehe ikaisha mi sijui lolote.tunawasiliana tu mi akanambia karudi mkoani kwake.juma anasema yupo.

usitudanganye hapa,wewe ndo ulianza mapenza na juma kitambo sana na baraka akagundua ndo maana kaamua kukuachia manyoya...pili hilo li juma ni lanamme la aina gani?mbona limbea hivyo?au ndo alikuwa anakutafutia ushahidi ili utafute mbinu za kumuacha baraka lakini baraka akakuwahi?yaani nawaona wote ni *@R@*&@*(@& ngoja tu nisemee kimoyo moyo
 
^^
1:
Ni wazi hupendwi na huyo umpendae
2:
Ndiyo desturi ya mapenzi ya siku hizi kukugeuza ajuza ilihali bado upo sokoni
3:
Unahitaji muda wa utulivu, uzungumze na moyo wako. Ujipe majibu ya kweli yasiyokufurahisha bali yatakayokuumiza ili uamue vema.
4:
Bado wewe ni wa thamani, na maisha ya mapenzi yanaweza kuwa bora zaidi ukipata anaejua thamani ya hisia zako!
Uwe na utulivu leez salu
^^
 
Last edited by a moderator:
nice story nimeipenda..inatokea xana chuoni ukiachwa na huyu unakuwa na rafiki yake cjui ni fashen au ??
 
Mapenzi ya chuo haya,, me ndo maana staki vijana bora nitunze bikra yng nimpe kizee changu kinaweza kuwa na shukrani!
 
ulikuwa na upendo kwa baraka mpaka kumpa nauli aje kukugegeda. Yawezekana alikuwa anakugegeda vizuri.
 
Mapenzi ya chuo haya,, me ndo maana staki vijana bora nitunze bikra yng nimpe kizee changu kinaweza kuwa na shukrani!

Itunze tu bibie tinna cute,washauri basi hao wadada,walishazipoteza sawa,basi wafunike,waache kupaacha wazi!
Unajua mleta uzi aliposema"Naitwa Tinna,akili yangu ikanituma kuwa atakuwa ni wewe nikasema tobaaa,hata tinna cute tayari ameishaipoteza!Duhhh kumbe sio wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi ya chuo haya,, me ndo maana staki vijana bora nitunze bikra yng nimpe kizee changu kinaweza kuwa na shukrani!
unatamanisha wakware ingawa nafarijika kuwa kuna mwenzangu aliyejitunza kama mimi. Karibu tuhamie liwale sehemu inaitwa Mpigamiti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom