Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Masikini Pombe Magufuli, amejicharacterise kama mtu maarufu na anayeweza kuwa mtendaji mzuri tu wa serikali.
Katika kufikiri hivyo Pombe Magufuli alifanya makosa makubwa ya kujikweza katika medani za kisiasa na kujiona ana uwezo wa utekelezaji mradi amepewa wadhifa wa kufanya hivyo.
Kwanza kabisa inabibid tumuelewe Dr Pombe Magufuli kuwa ni mtu gani.
This guy is a bull dozer who operates on matters of principles.Kitu ambacho ni muhumu sana kwa mtu wa maadili.
Pili huyu Dr Magufuli haogopi kutekeleza yale yaliyo andikiwa (kisomi) akiwa kama mtekelezaji wa ilani ya chama chake.
Tatu Dr Magufuli bado hajaingia katika zile duru za magwiji ya kisiasa hapa nchini, licha ya umaarufu wake.
Nne, nafasi ya Dr Pombe katika Serikali hii ya awamu ya nne ni kama nani haswa?ikizingatiwa kuwa katika awamu ya tatu Dr Magufuli alikuwa karibu sana na Ben Mkapa.
Dondoo hizi ndio zitatupa ukweli wa kisiasa katika utekelezaji wa majukumu ya Dr Magufuli ikizingatiwa kuwa yeye ni mwanasiasa tu katika Wizara ya Ujenzi.
Ikumbukwe kuwa mtekelezaji mkuu wa sera za serikali katika wizara ni katibu mkuu.
Hivyo basi, amri ya utekelezaji wa bomoa bomoa ya Dr Magufuli, pamoja na kuwa na nguvu ya kisheria haikuwa na mguvu ya kisiasa kulingana na uwezo wa kisiasa wa Dr Magufuli.
Na ndio maana imekuwa rahisi sana kumdhibiti Dr Magufuli kuendesha zoezi la bomoa bomoa nchi nzima, zoezi ambalo wengi wanaona lingempa umaarufu kiutendaji na kisiasa.
Waziri Mkuu Pinda hakukurupuka kumdhibiti Dr Magufuli na inaelekea kuwa si ajabu Mzee Pinda hakuchukua hatua hiyo kama yeye binafsi.
Hivi karibuni zoezi la Dr Magufuli , ambali lingekuwa pan -territorial, lingekuwa na matokeo ya kisiasa mbayo Dr Magufuli peke yake asigeweza kuyadhibiti, hivyo kuhitaji Wizara na Idara nyingine za serikali kuingilia kati.
Pamoja na uwezo mzuri tu wa kiutekelezaji wa Dr Magufuli, ni vyema angewasiliana na mkuu wake wa kazi pamoja na wizara nyingine kuliko kuwa na a "one man show" katika maendeleo ya nchi.
Kwa kulinganisha tu, wale mwaziri wenye ushawishi mkubwa wa kisiasa eg Mh Sitta,Mwakyembe na hata wasio mawaziri eg Lowassa, wana uzito wa kisiasa na wa kiutekelezaji , lakini wao vile vile wamepata misuko suko.
Nia ya Magufuli ni njema , lakini inabidi ajenge political base ili awe na nguvu ya kiutekelezaji
Katika kufikiri hivyo Pombe Magufuli alifanya makosa makubwa ya kujikweza katika medani za kisiasa na kujiona ana uwezo wa utekelezaji mradi amepewa wadhifa wa kufanya hivyo.
Kwanza kabisa inabibid tumuelewe Dr Pombe Magufuli kuwa ni mtu gani.
This guy is a bull dozer who operates on matters of principles.Kitu ambacho ni muhumu sana kwa mtu wa maadili.
Pili huyu Dr Magufuli haogopi kutekeleza yale yaliyo andikiwa (kisomi) akiwa kama mtekelezaji wa ilani ya chama chake.
Tatu Dr Magufuli bado hajaingia katika zile duru za magwiji ya kisiasa hapa nchini, licha ya umaarufu wake.
Nne, nafasi ya Dr Pombe katika Serikali hii ya awamu ya nne ni kama nani haswa?ikizingatiwa kuwa katika awamu ya tatu Dr Magufuli alikuwa karibu sana na Ben Mkapa.
Dondoo hizi ndio zitatupa ukweli wa kisiasa katika utekelezaji wa majukumu ya Dr Magufuli ikizingatiwa kuwa yeye ni mwanasiasa tu katika Wizara ya Ujenzi.
Ikumbukwe kuwa mtekelezaji mkuu wa sera za serikali katika wizara ni katibu mkuu.
Hivyo basi, amri ya utekelezaji wa bomoa bomoa ya Dr Magufuli, pamoja na kuwa na nguvu ya kisheria haikuwa na mguvu ya kisiasa kulingana na uwezo wa kisiasa wa Dr Magufuli.
Na ndio maana imekuwa rahisi sana kumdhibiti Dr Magufuli kuendesha zoezi la bomoa bomoa nchi nzima, zoezi ambalo wengi wanaona lingempa umaarufu kiutendaji na kisiasa.
Waziri Mkuu Pinda hakukurupuka kumdhibiti Dr Magufuli na inaelekea kuwa si ajabu Mzee Pinda hakuchukua hatua hiyo kama yeye binafsi.
Hivi karibuni zoezi la Dr Magufuli , ambali lingekuwa pan -territorial, lingekuwa na matokeo ya kisiasa mbayo Dr Magufuli peke yake asigeweza kuyadhibiti, hivyo kuhitaji Wizara na Idara nyingine za serikali kuingilia kati.
Pamoja na uwezo mzuri tu wa kiutekelezaji wa Dr Magufuli, ni vyema angewasiliana na mkuu wake wa kazi pamoja na wizara nyingine kuliko kuwa na a "one man show" katika maendeleo ya nchi.
Kwa kulinganisha tu, wale mwaziri wenye ushawishi mkubwa wa kisiasa eg Mh Sitta,Mwakyembe na hata wasio mawaziri eg Lowassa, wana uzito wa kisiasa na wa kiutekelezaji , lakini wao vile vile wamepata misuko suko.
Nia ya Magufuli ni njema , lakini inabidi ajenge political base ili awe na nguvu ya kiutekelezaji