Kosa la kwanza

Abdull Kazi

JF-Expert Member
Dec 29, 2012
322
255
Udhaiu uioonyeshwa na wanachadema wakati zitto akisubiri hatma yake kamati kuu umeanza kutumiwa vizuri na upande wa pili kila jambo lenye mashiko litakalosemwa na zitto watu wataliita ni la uzushi limefsnywa na msaliti,wale waliokuwa katika kuumbuka sasa wanazidi kuiweka cdm kati na kuendelea kufanya yao kisa aliyetoa hoja haaminiwi kwake wameaminishwa watu kuwa mshahara wa waziri mkuu ni. mil 6 pamoja na marupurupu ya mkewe watu wanamnyooshea zito kidole kuwa ni mzandiki ktk hili hawataki tena kujiuliza kama mbunge analipwa zaidi ya mil 11 vipi pm apokee sita sasa nafurahi kuona tofauti zao zimewaondolea akili ya kutafakari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom