Unauliza swali la kitoto sana, nani kafanya , kwani mleta mada ni Polisi? Subiri ripoti ya Polisi.Umesema chadema wamefanya kosa kubwa kuituhumu serikali,Mimi binafsi sipingani na wewe.Sasa wewe tueleze ni nani ametenda haya,maana hawa jamaa wameshafanya kosa kutaja serikali wakati haihusiki.Ninaimani haya umeyasema kwakufanya uchunguzi yakinifu hivyo basi ni vema ukapeleka taarifa polisi juu ya hao unaowajuwa kutenda jambo hilo,kuliko kulaumu chadema ambao wametaja mshukiwa ambaye wewe hukubaliani nao. Sasa napenda kukupa shule jinsi ya kuchunguza jambo lolote lile: Kwanza kabisa unaangalia matukuo ya nyuma kabla ya tukio kuu,then unaangalia nyendo za maadui wa mlengwa kabla ya tukio,tatu unaangalia taarifa za matukio ya nyuma kama zilifika sehemu sahihi inayohusika na uchunguzi,na kama taarifa ilifika unapaswa kuangalia jinsi ilivyo shugulikiwa,na kama haikufika unapaswa kujiuliza kwa nini taarifa haikufika.
Jambo jingine unaangalia matendo yaliyotokea wakati wa tukio,lakini ukiwa unaangalia wale uliokuwa unawahisi kama kuna uhusiano wowote.Mwisho unaangalia matendo yanayoendelea baada ya tukio kwakuangali wale unaowahisi. Kwahiyo haya mambo yanautaratibu wake,siyo unajiandikia tu bila kutumia critical thinking.Kwa nyongeza,MTU anayeweza kuchunguza mambo haya kiyakinifu ni yule mwenye sifa ya introvert na si extrovert maana huyu sifa yake kuu ni kuharibu uchunguzi kwaajili ya misifa na mbwembwe mbele ya mkusanyiko wa watu.
Circumstantial evidence inatumika pale ambapo amabapo hakuna ushahidi thabiti wa kuhusiana na tukio.kwenye sheria kuna kitu tunakiita circumstantial evidence na hiki ndicho CDM wanachokitumia kujenga hoja hazijengwi kwa tofali na cement kama unavyojua wewe.
Uthibitisho ndiyo huo wa hayo maneno unataka yapo mengine...Viongozi wa Chadema anasema Serikali ndiyo wahusika wa shambulio la Tundu Lissu unataka nini zaidi? Wekeni ushahidi wa Serikali kuhusika ndiyo tunataka.Toa uthibitizo wa maneno uliyoandika.
Mkuu ndiyo nani?Kauli za mkuu ushahidi wa kwanza na umetolewa, mkuu alisema TL msaliti na wasaliti wapigwe lisasi hii ni amri halali na askari watiifu lazima watekeleze.
Mpaka Leo hao watu wasiojulikana hawajulikani, ingekuwa raia lazima wangeacha alama.
Naona tunaendelea kubishana nimesema *Leta ushahidi wa hilo tamko*Leo maji yamezidi unga unapinga
Mkuu ndiyo nani?
Really, hekima na busara ni bora kunyamazaSerikali umesikia ikikanusha kwamba haihusiki?
Chunga mdomo wako
Huyo RPC wako yeye sio amesomea uchunguzi? Atafute ushahidi mwenyewe. Ngoja FBI waje hawataopata ushahidi?Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.
Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.
Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.
Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.
Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.
Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.
Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
wasaidie dada zako kupika jikoniNdiyo haya sema lingine
Maliza kwnza iloUna lingine tena
Uchunguzi pekee ni wa vyombo huru vya kimataifa, acha maneno weka muziki weweKama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.
Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.
Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.
Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.
Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.
Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.
Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
please mtoa hoja unaweza kutupatia hapa facts za tangazo hilo kutoka chadema wakisema serikali inahusika,keep in mind chadema wana SG na spokesperson wao,sio kila mtu ni msemaji wa chadema.Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.
Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.
Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.
Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.
Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.
Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.
Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.
Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.
Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.
Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.
Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.
Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.
Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
Wakiongozwa na Lazaro Nyarandu MZEE wa kusafirisha Twiga