tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.
Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.
Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.
Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.
Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.
Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.
Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.
Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.
Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.
Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.
Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.
Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.