tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
- Thread starter
- #281
maneno ya kwenye kahawa hayo mliyoyatengeneza kuwaaminishi wananchi.Aliyeng'oa cctv naye wameshindwa kumkamata, je aliyetoa order wale Askari wa lindo waondoke wasiwepo siku na muda huo naye hajulikani maana walipewa mpaka na muda wa kutokuwepo, maana walijua muda wa kufanya tukio.