Kosa kubwa sana CHADEMA wamefanya kusema Serikali ndiyo iliyomshambulia Tundu Lissu bila ushahidi wowote!

Umesema chadema wamefanya kosa kubwa kuituhumu serikali,Mimi binafsi sipingani na wewe.Sasa wewe tueleze ni nani ametenda haya,maana hawa jamaa wameshafanya kosa kutaja serikali wakati haihusiki.Ninaimani haya umeyasema kwakufanya uchunguzi yakinifu hivyo basi ni vema ukapeleka taarifa polisi juu ya hao unaowajuwa kutenda jambo hilo,kuliko kulaumu chadema ambao wametaja mshukiwa ambaye wewe hukubaliani nao. Sasa napenda kukupa shule jinsi ya kuchunguza jambo lolote lile: Kwanza kabisa unaangalia matukuo ya nyuma kabla ya tukio kuu,then unaangalia nyendo za maadui wa mlengwa kabla ya tukio,tatu unaangalia taarifa za matukio ya nyuma kama zilifika sehemu sahihi inayohusika na uchunguzi,na kama taarifa ilifika unapaswa kuangalia jinsi ilivyo shugulikiwa,na kama haikufika unapaswa kujiuliza kwa nini taarifa haikufika.
Jambo jingine unaangalia matendo yaliyotokea wakati wa tukio,lakini ukiwa unaangalia wale uliokuwa unawahisi kama kuna uhusiano wowote.Mwisho unaangalia matendo yanayoendelea baada ya tukio kwakuangali wale unaowahisi. Kwahiyo haya mambo yanautaratibu wake,siyo unajiandikia tu bila kutumia critical thinking.Kwa nyongeza,MTU anayeweza kuchunguza mambo haya kiyakinifu ni yule mwenye sifa ya introvert na si extrovert maana huyu sifa yake kuu ni kuharibu uchunguzi kwaajili ya misifa na mbwembwe mbele ya mkusanyiko wa watu.
Unauliza swali la kitoto sana, nani kafanya , kwani mleta mada ni Polisi? Subiri ripoti ya Polisi.
 
kwenye sheria kuna kitu tunakiita circumstantial evidence na hiki ndicho CDM wanachokitumia kujenga hoja hazijengwi kwa tofali na cement kama unavyojua wewe.
Circumstantial evidence inatumika pale ambapo amabapo hakuna ushahidi thabiti wa kuhusiana na tukio.
Lissu hajahojiwa,dereva ambae amesema anawajua washambulizi,hajahojiwa unapata wapi nguvu ya kutoa circumstantial evidence?
 
Toa uthibitizo wa maneno uliyoandika.
Uthibitisho ndiyo huo wa hayo maneno unataka yapo mengine...Viongozi wa Chadema anasema Serikali ndiyo wahusika wa shambulio la Tundu Lissu unataka nini zaidi? Wekeni ushahidi wa Serikali kuhusika ndiyo tunataka.
 
Kauli za mkuu ushahidi wa kwanza na umetolewa, mkuu alisema TL msaliti na wasaliti wapigwe lisasi hii ni amri halali na askari watiifu lazima watekeleze.

Mpaka Leo hao watu wasiojulikana hawajulikani, ingekuwa raia lazima wangeacha alama.
Mkuu ndiyo nani?
 
Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.

Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.

Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.

Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.

Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.

Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.

Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
Huyo RPC wako yeye sio amesomea uchunguzi? Atafute ushahidi mwenyewe. Ngoja FBI waje hawataopata ushahidi?
 
Mbona hyo iko wazi.. Hata mtoto mdogo anajua.... Ndo maana mlikuwa mnaogopa ha Harubadili isisomwe....
 
Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.

Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.

Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.

Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.

Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.

Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.

Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
Uchunguzi pekee ni wa vyombo huru vya kimataifa, acha maneno weka muziki wewe
 
Unasema Chadema wamefanya kosa kubwa kulaumu serikali bila ushahidi wowote haya wewe una ushahidi gani kwamba wa kinyume Chake?
 
Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.

Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.

Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.

Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.

Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.

Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.

Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
please mtoa hoja unaweza kutupatia hapa facts za tangazo hilo kutoka chadema wakisema serikali inahusika,keep in mind chadema wana SG na spokesperson wao,sio kila mtu ni msemaji wa chadema.
 
Kama Kuna kosa kubwa Chama cha Chadema wamefanya mwaka huu ni ile hali ya kuiaminisha jamii ya kitanzania na kimataifa kuwa shambulio la Tundu Lissu limefanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vya Serikali.

Huo mtazamo wa Viongozi wa Chadema na wafuasi wao kuhusu Serikali kuhusu na shambulio kwa Tundu Lissu utawasumbua sana ktk mahusiano kisiasa.

Na jinsi wanapanga kupeleka malalamiko yao UN na Jumuia ya kimataifa ni kudhihirisha kuwa kweli Serikali imehusika na hawana Imani nayo.

Nadhani huu mtazamo wa Viongozi wa aina hii kuwa kila Kitu unasingizia Serikali si Mzuri sana.

Sidhani kama Chadema wanaweza kuweka ushahidi wowote mezani usio na shaka kuwa ni kweli Serikali imehusika.

Kwasababu RPC Muroto wa Dodoma alitoa wito mwenye ushahidi wowote apelekwe Polisi labda Viongozi hao watakuwa wamepeleka.

Tumuombee Tundu Lissu apone haraka na uchunguzi utoe taarifa mapema kuhusu shambulio hilo.
Wakiongozwa na Lazaro Nyarandu MZEE wa kusafirisha Twiga

Ni kweli serikali ilitaka kumuua Lissu na ushahidi upo 100% .
Ni Magufuli alitamka akiwa Ikulu akimwambia spika wa bunge, Job Ndugai, aliyeupata uspika kwa kumpiga mtu hadi akazirai,na hapa namnukuu Magufuli.
"Wakiwa ndani ya bunge wana kinga wanaweza kuropoka chochote, Wewe wafukuze wote wanaoropoka, wakitoka nje mimi nitawashughulikia "
Mwisho wa kunukuu.
Lissu hakuwa na ugomvi na mtu zaidi ya serikali.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom