Huu ni mtazamo wangu utawala wa kikwete ni wa kipole sana kwan mpaka sasa hivi hatusikii watu kupigwa exile yaani kuhamishwa nje kwa nguv. ndo mana kila mtu anaibuka na kuanzish falsafa yake japo bwana kaya ameonyesha msimamo wake katika kuendesha taifa hapa imekaaje?
Bwana kaya na wewe amka hawa wasakatonge wasitusumbue nchini na kuivuruga amani.
Bwana kaya na wewe amka hawa wasakatonge wasitusumbue nchini na kuivuruga amani.