KOROSHO TENA! Serikali yakaribisha wafanyabiashara wanaotaka kununua na kubangua korosho

Tutafika tuendako kwa kuchechemea, wengi watakuwa vilema wengine wataishia njiani

Wakulima maeneo mengi wanalia kuliko wakati mwingine. Tatizo wenye dhamana hawajui nini cha kufanya bali wanataka kusifiwa wanapojaribu kutatua migogoro
 
Ni wajinga tu ndio watakuwa washabiki wa hii awamu.Na huu ni ushahidi wa wazi kuwa tatizo la nchi hii ni mtu mmoja alieko juu kabisa kwenye ile ofisi kubwa.

Watu(wafanyabiashara) wanaweza kujitokeza kuitikia wito huu alafu wakaishia kutakiwa kujieleza ni wapi wamepata mitaji ya kununua hizo korosho maana vituko nchi hii haviishi.


Kama neno "wajinga" ni tusi,mnipige tena "ban" lakini lazima tuseme ukweli.

Watu kwa muda mrefu tumeitwa nyumbu humu huku wanaotuita hivyo mkiwaangalia tu,juzi nimemjibu mmoja mkanipiga ban.Sijui mnachosimamia ni nini!!
Acha tu ndugu. Moderators wa jf nao wamekuwa "feet lickers" wa huu utawala. Uvccm wakitukana wanaachwa ila sie tukitoa fair comment moja tu tunapigwa ban za ajabu ajabu

Sent using Sukhoi Su-57
 
Tutafika tuendako kwa kuchechemea, wengi watakuwa vilema wengine wataishia njiani

Wakulima maeneo mengi wanalia kuliko wakati mwingine. Tatizo wenye dhamana hawajui nini cha kufanya bali wanataka kusifiwa wanapojaribu kutatua migogoro
Kuna mambo ya kutumia trial and error, mambo ya biashara ni sayansi, au unajua nna ya kufanya kwa mafanikio au unafanza kwa kuharibu na kwa hasara kubwa. Koroshowwwww hoyeeeeeeee
 
Kama serikali imeita wanunuzi wa Korosho kwenye meza ya mazungumzo tatizo liko wapi?, Kama serikali iliwaita wachimbaji madini na kuzungumza nao, kuwaita wanunuzi Korosho imekosea nini?. Serikali ikitenda lawama, isipotenda lawama, kweli tuna watanzania Mazuzu ambao kila kitu kwao kibaya. Serikali makini na ya kidemokrasia hujadiliana na kuafikiana na makundo mbalimbali nchini ili kupata ufumbuzi wa maswala kadhaa. Ni wiki hii serikali imeketi na vyama vya wafanyakazi kutatua kikokotoo, na sasa inakaa na wanunuzi Korosho, baadae wanunuzi madini n.k hiyo ndiyo demokrasia ya uchumi. Badilikeni muwe wazalendo lasivyo Mtapata Taabu Sana Aisee kwa Awamu ya Jemedari JPM, Mzalendo wa kweli
Tatizo ni ubabe wenu. Tena umeandika kimahaba. Huelewi mantiki ya hoja ya sasa ya serikali na mantiki ya hoja ya mwanzo ya serikali.

Kwenye kundi la Great Thinkers huwezi kuwemo hata chembe. Mnalianzisha kwa viburi vyenu then linawachachia finally mnaomba msaada kwa wale mliowaona wezi? Only in my motherland
 
Kama serikali imeita wanunuzi wa Korosho kwenye meza ya mazungumzo tatizo liko wapi?, Kama serikali iliwaita wachimbaji madini na kuzungumza nao, kuwaita wanunuzi Korosho imekosea nini?. Serikali ikitenda lawama, isipotenda lawama, kweli tuna watanzania Mazuzu ambao kila kitu kwao kibaya. Serikali makini na ya kidemokrasia hujadiliana na kuafikiana na makundo mbalimbali nchini ili kupata ufumbuzi wa maswala kadhaa. Ni wiki hii serikali imeketi na vyama vya wafanyakazi kutatua kikokotoo, na sasa inakaa na wanunuzi Korosho, baadae wanunuzi madini n.k hiyo ndiyo demokrasia ya uchumi. Badilikeni muwe wazalendo lasivyo Mtapata Taabu Sana Aisee kwa Awamu ya Jemedari JPM, Mzalendo wa kweli
Mazuzu ni pamoja na wewe na lichama lenu.Kule kwenye lichama lenu tunawatoa wachache wenye akili akiwemo bashe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni ubabe wenu. Tena umeandika kimahaba. Huelewi mantiki ya hoja ya sasa ya serikali na mantiki ya hoja ya mwanzo ya serikali.

Kwenye kundi la Great Thinkers huwezi kuwemo hata chembe. Mnalianzisha kwa viburi vyenu then linawachachia finally mnaomba msaada kwa wale mliowaona wezi? Only in my motherland
Mkuu wakimaliza hiki watuambie had I sasa wale walioitwa wezi wa madini wameshalipa kiasi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilianza kupata hofu nilipoanza kusikia eti kabla ya kukulipa wanahakiki mashamba kwanza! Hapa nikajiuliza, wananunua korosho au wananunua mashamba!?

Watu wakasema amefanya vema maana waliowaibia wakulima hawana Chao tena!

Mwili ukatetemeka baada ya kusikia kauli kama hizo! Nikahoji, hao waliopata korosho na hawana mashamba walikuwa wanawavizia wakulima, wanawateka na kuwapora korosho!? Au waliteka mashamba wasiyolima wao wakaenda kuyavuna!?

Watu wakasema sijui ilikuwa ni kangomba wakulima walikuwa wanakopeshwa hela kwa makubaliano ya kulipa kiasi fulani cha korosho! Lakini wengine walizalangua kwa bei ya chini kipindi cha mavuno!

Nikajihoji, sasa baada ya huyu kangomba au mlanguzi kutaifishwa korosho zake na serikali, hela yake aliyompa mkulima au aliyotumia kulangua korosho atazipataje!?

Watu wakasema ooh wakome wakomelee mbali maana walikuwa wanawaibia wakulima!

Ukikaa ukatafakari utaona upuuzi ulianzia hapo! Hiyo ilikuwa ni dalili tosha kwamba serikali haikuwa na hela ya kulipa wakulima ipasavyo!

Wakati wa mavuno wa zao lolote tunatambua kabisa bei inakuwa chini,. Miaka nenda miaka rudi walanguzi wamekuwepo na wakulima kwa hiari yao wanawauzia mazao yao kulingana na shida wanayokuwa nayo wakati huo! Ni ukweli uliowazi wakulima wengi hawana uwezo wa kukaa na mazao ndani kusubiri soko liwe stable!

Kwanini umuhukumu mlanguzi wakati hakukaba!? Kwanini umnyang'anye mazao yake wakati aliyanunua kwa haiari na huenda hela ya wakati huo aliyomlipa mkulima ilimsaidia kulipa ada, matibabu au changamoto za kifamilia!? Mlanguzi hapa alikuwa na dhambi gani!?

Kumaliza tatizo la kangomba au walanguzi ni kuwanyang'anya mazao walanguzi au ni kuwatafutia soko la uhakika la wakati wote wakulima? Kwanini tunapenda kukata matawi badala ya kung'oa mizizi!? Kama mti huutaki kukata tawi sio suruhisho! Utachipua tu!

Tukiwa watu wa kusoma nyakati hatutakubali kuendeshwa! Kibaya sisi hatuna uwezo wa kuona mbele na tatizo linapotokea hatuna uwezo wa kuchukua maamuzi tunaishia kualalamika tu mitandaoni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upumbavu wewe ungekuwa karibu ningekutia hata makofi ya kutosha. Alfu unaweza kukuta ni kijana kabisa unajitoa akili kiasi iko. Wewe huoni tatizo lipo wapi.

Serikal ivuruge biashara, ishindwe kununua korosho zote. nyingne mpaka zmepigwa mvua kwenye magala. Mpka sasa msimu wa ununuzi korosho umeisha. Wanunuzi wanaenda na seasonal timetable. Hamna wa kuangaika kubeba makorosho nanayooza kwa kupigwa mvua sasa hivi. Watu wanyanganywa korosho zao, kesi kibao zimeanza kufunguliwa mahakamani. Yan watengeneze tatizo beyond recovery leo waamue kukaa mezani uanze kusifu. Msengerema wewe. Mfyuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niliposoma hiyo comment yake mwili wote ulishikwa ganzi. Siasa sio ushabiki wa mpira kwamba timu hata ikiboronga itabaki kuwa yako, siasa inagusa maisha ya watu.Wananchi tuache kuwashangilia viongozi wanaotoa maamuzi ya hovyo ili wapate kushangiliwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama serikali imeita wanunuzi wa Korosho kwenye meza ya mazungumzo tatizo liko wapi?, Kama serikali iliwaita wachimbaji madini na kuzungumza nao, kuwaita wanunuzi Korosho imekosea nini?. Serikali ikitenda lawama, isipotenda lawama, kweli tuna watanzania Mazuzu ambao kila kitu kwao kibaya. Serikali makini na ya kidemokrasia hujadiliana na kuafikiana na makundo mbalimbali nchini ili kupata ufumbuzi wa maswala kadhaa. Ni wiki hii serikali imeketi na vyama vya wafanyakazi kutatua kikokotoo, na sasa inakaa na wanunuzi Korosho, baadae wanunuzi madini n.k hiyo ndiyo demokrasia ya uchumi. Badilikeni muwe wazalendo lasivyo Mtapata Taabu Sana Aisee kwa Awamu ya Jemedari JPM, Mzalendo wa kweli
Wewe ni hasara kwa mamaako.
 
Mkuu wakimaliza hiki watuambie had I sasa wale walioitwa wezi wa madini wameshalipa kiasi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikaa na kutafakari maigizo na mazingaombwe yanayofanywa na Mwalimu Mkuu wa shule yetu na jinsi anavyoshangiliwa kwa Kiki zake na wanafunzi utatamani ujifiche angalau kwenye kikombe cha kunywea maji
 
Kama serikali imeita wanunuzi wa Korosho kwenye meza ya mazungumzo tatizo liko wapi?, Kama serikali iliwaita wachimbaji madini na kuzungumza nao, kuwaita wanunuzi Korosho imekosea nini?. Serikali ikitenda lawama, isipotenda lawama, kweli tuna watanzania Mazuzu ambao kila kitu kwao kibaya. Serikali makini na ya kidemokrasia hujadiliana na kuafikiana na makundo mbalimbali nchini ili kupata ufumbuzi wa maswala kadhaa. Ni wiki hii serikali imeketi na vyama vya wafanyakazi kutatua kikokotoo, na sasa inakaa na wanunuzi Korosho, baadae wanunuzi madini n.k hiyo ndiyo demokrasia ya uchumi. Badilikeni muwe wazalendo lasivyo Mtapata Taabu Sana Aisee kwa Awamu ya Jemedari JPM, Mzalendo wa kweli

Mbwa alaye matapishi yake.
 
Back
Top Bottom