Poise JF-Expert Member May 31, 2016 7,633 7,901 Jun 14, 2017 #22 Namba 11. Hii ije kwetu uko wakati huu tunapowasaka Wasaliti. Teeerrh Teeerrh haaaaaa haaaa haaaaaa teeeh
Namba 11. Hii ije kwetu uko wakati huu tunapowasaka Wasaliti. Teeerrh Teeerrh haaaaaa haaaa haaaaaa teeeh
uporo wa wali ndondo JF-Expert Member Dec 3, 2013 3,455 2,237 Jun 14, 2017 #23 hapa ni mmarekani anapojaribu kupropadanda nchi ya kk ili ionekane serikali yake haifai kwenye jamii...mmarekani ni mpumbavu sana.
hapa ni mmarekani anapojaribu kupropadanda nchi ya kk ili ionekane serikali yake haifai kwenye jamii...mmarekani ni mpumbavu sana.
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Jun 14, 2017 #24 Mbona kuna waandishi wa aljazira wakiturushia habari pale kiduku anapotest makombora yake! Nalog off
msafwa93 JF-Expert Member Jul 2, 2011 4,761 5,877 Jun 14, 2017 #25 TRAFIC JAM IN N.KOREA Walsall goalkeeper Neil Etheridge posted this selfie while in North Korea.