Korea kaskazini ndani ya Africa

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
983
Reaction score
1,711
Misukule wanauliza pengine mlio timamu muwasaidie kufikisha maswali yao kwa watawala wake

1).Lengo nia au dhamira ya mtawala/watawala ni ipi?

2).Wanasema mnataka wao wawaeleweje?

Think wisely and take action.
 
Sijaona maamuzi au kitendo cha kiungwana chochote kilichochukuliwa kuendana na uzito wa jambo lilitokea kwa makusudi...

Hii maana yake nini!?
 
Misukule wanauliza pengine mlio timamu muwasaidie kufikisha maswali yao kwa watawala wake

1).Lengo nia au dhamira ya mtawala/watawala ni ipi?

2).Wanasema mnataka wao wawaeleweje?
View attachment 3519368
Think wisely and take action.
Waandamanaji hao AKA Misukule wanadai wanahoja na zinamashiko, hivyo wasikilizwe,! pasipo na excuses yoyote ile.

Hapa issue siyo kuzuia au kudhibiti maandamano, hapa issue ni kutafuta mzizi wa tatizo, kwanini watu wanaandamana! Baaasi...!!!

Hawachoki kuendelea kutoa maoni yao, Wadau licha yakua walishashauri kabla wakapata kusema haya...



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…