Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,588
- 28,752
Korea Kusini imesema imepata dalili kwamba Korea Kaskazini inajiandaa kufanya jaribio la tano la bomu la nyuklia, Rais Park Geun-hye amesema.
Hakufafanua zaidi kuhusu dalili hizo, lakini ameagiza jeshi la nchi yake kuwa tayari, shirika la habari la nchi hiyo limesema.
Kumekuwa na ripoti katika vyombo vya habari nchini Korea Kusini kwamba kumeongezeka shughuli katika kituo cha majaribio ya silaha za nyuklia cha Korea Kaskazini cha Punggye-ri, ambapo majaribio ya awali yalitekelezwa.
Iwapo Pyongyang itaendelea na kufanyia majaribio bomu la nyuklia, basi itakuwa ni kukaidi zaidi vikwazo vikali ilivyoongezewa na Umoja wa Mataifa mwezi jana.
"Tupo katika hali ya kutatanisha, hatujui iwapo Korea Kaskazini inaweza kufanya uchokozi kama njia ya kujitetea kutokana na kutengwa na jamii ya kimataifa na pia kuimarisha uungwaji mkono ndani ya nchi,” Bi Park aliambia maafisa wake wakuu wa jeshi, shirika la habari la Yonhap liliripoti.
Mwezi Januari, Korea Kaskazini ilifanya jaribio la nne la silaha za nyuklia na baadaye ikarusha kombora baharini.
Hatua hiyo iliongeza hali ya wasiwasi katika rasi ya Korea.
Waangalizi wanasema huenda jaribio hilo la bomu likafanywa kabla ya mkutano mkuu wa chama tawala cha Workers' Party mjini Pyongyang mwezi Mei.
Wataalamu wanaamini Korea Kaskazini haina uwezo wa kiteknolojia wa kuweka silaha ya nyuklia kwenye kombora, ingawa imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa nyuklia miaka ya karibuni.
===============================
South Korea has detected signs that the North is preparing for a fifth nuclear test, President Park Geun-hye said.
She did not elaborate on what the signs were, but ordered the military to be prepared, Yonhap news agency said.
It comes after reports in local media about increased activity at the North's Punggye-ri nuclear test site, where the previous nuclear tests took place.
A new test would be further defiance of tougher sanctions imposed by the UN last month.
"We are in a situation, in which we don't know whether North Korea could stage provocation as a move to overcome its isolation and to consolidate its internal unity," Ms Park said told her top aides, Yonhap reported.
In January, the North conducted its fourth nuclear test and a rocket launch a month later, raising tensions on the peninsula.
Observers have been saying another test could come before North Korea holds its Workers' Party congress in Pyongyang in May.
Experts believe the North does not possess the technology to mount a nuclear device on an intercontinental ballistic missile - although it has made progress in recent years on its nuclear weapons programme.
Source: BBC
Hakufafanua zaidi kuhusu dalili hizo, lakini ameagiza jeshi la nchi yake kuwa tayari, shirika la habari la nchi hiyo limesema.
Kumekuwa na ripoti katika vyombo vya habari nchini Korea Kusini kwamba kumeongezeka shughuli katika kituo cha majaribio ya silaha za nyuklia cha Korea Kaskazini cha Punggye-ri, ambapo majaribio ya awali yalitekelezwa.
Iwapo Pyongyang itaendelea na kufanyia majaribio bomu la nyuklia, basi itakuwa ni kukaidi zaidi vikwazo vikali ilivyoongezewa na Umoja wa Mataifa mwezi jana.
"Tupo katika hali ya kutatanisha, hatujui iwapo Korea Kaskazini inaweza kufanya uchokozi kama njia ya kujitetea kutokana na kutengwa na jamii ya kimataifa na pia kuimarisha uungwaji mkono ndani ya nchi,” Bi Park aliambia maafisa wake wakuu wa jeshi, shirika la habari la Yonhap liliripoti.
Mwezi Januari, Korea Kaskazini ilifanya jaribio la nne la silaha za nyuklia na baadaye ikarusha kombora baharini.
Hatua hiyo iliongeza hali ya wasiwasi katika rasi ya Korea.
Waangalizi wanasema huenda jaribio hilo la bomu likafanywa kabla ya mkutano mkuu wa chama tawala cha Workers' Party mjini Pyongyang mwezi Mei.
Wataalamu wanaamini Korea Kaskazini haina uwezo wa kiteknolojia wa kuweka silaha ya nyuklia kwenye kombora, ingawa imepiga hatua kubwa katika mpango wake wa nyuklia miaka ya karibuni.
===============================
South Korea has detected signs that the North is preparing for a fifth nuclear test, President Park Geun-hye said.
She did not elaborate on what the signs were, but ordered the military to be prepared, Yonhap news agency said.
It comes after reports in local media about increased activity at the North's Punggye-ri nuclear test site, where the previous nuclear tests took place.
A new test would be further defiance of tougher sanctions imposed by the UN last month.
"We are in a situation, in which we don't know whether North Korea could stage provocation as a move to overcome its isolation and to consolidate its internal unity," Ms Park said told her top aides, Yonhap reported.
In January, the North conducted its fourth nuclear test and a rocket launch a month later, raising tensions on the peninsula.
Observers have been saying another test could come before North Korea holds its Workers' Party congress in Pyongyang in May.
Experts believe the North does not possess the technology to mount a nuclear device on an intercontinental ballistic missile - although it has made progress in recent years on its nuclear weapons programme.
Source: BBC