Asilimia 60 ya konyagi inayonywea kwenye bar zote Tanzania ni ya BANDIA.Hali hii inatokana na uzembe wa hali juu ya viongozi wa kampuni ya Tanzania Distillers inayotengeneza konyagi.Vingozi wa kampuni hii bado wapo kwenye giza totoro jinsi konyagi yao inavyohujumiwa.
Kwa sasa eti wamebandika mabango makubwa yanayolipiwa fedha nyingi ambazo kwao ingekuwa ni sehemu ya faida kubwa pia.Mabango hayo yanaonesha hatua kwa hatua jinsi mteja wa konyagi atakavyobaini konyagi halisi na ya bandia hasa ile ya pakiti au kiroba.Matangazo hayo kwenye mabango hayana maana yeyote kwa sababu watengenezaji wa konyagi bandia wanatumia pakiti zile zile za Tanzania Distillers zilizokamili na wao wanajaza pombe yao ya GONGO.
Ukiangalia kwa mwonekano ni konyagi halisi kama pakiti ya konyagi inavyooneshwa kwenye mabango, lakini ukionja unakuta ladha ya gongo au madudu mengine.Mkurugenzi wa kampuni inayotengeneza konyagi anatakiwa aamke kwenye usingizi achunguze pakiti zao za konyagi zinatoka vipi hadi zifike kwa watu wanaojaza gongo.Mabango ya konyagi yaliyopo mitaani na barabarani ni mapambo tu na wanapoteza pesa zao bure
Kwa sasa eti wamebandika mabango makubwa yanayolipiwa fedha nyingi ambazo kwao ingekuwa ni sehemu ya faida kubwa pia.Mabango hayo yanaonesha hatua kwa hatua jinsi mteja wa konyagi atakavyobaini konyagi halisi na ya bandia hasa ile ya pakiti au kiroba.Matangazo hayo kwenye mabango hayana maana yeyote kwa sababu watengenezaji wa konyagi bandia wanatumia pakiti zile zile za Tanzania Distillers zilizokamili na wao wanajaza pombe yao ya GONGO.
Ukiangalia kwa mwonekano ni konyagi halisi kama pakiti ya konyagi inavyooneshwa kwenye mabango, lakini ukionja unakuta ladha ya gongo au madudu mengine.Mkurugenzi wa kampuni inayotengeneza konyagi anatakiwa aamke kwenye usingizi achunguze pakiti zao za konyagi zinatoka vipi hadi zifike kwa watu wanaojaza gongo.Mabango ya konyagi yaliyopo mitaani na barabarani ni mapambo tu na wanapoteza pesa zao bure