Kontena la futi 40 lililosheheni meno ya tembo lakamatwa Unguja!

Watu tulijiuliza sana huu urafiki wa ghafla kati ya Kinana na Balozi wa China umetoka wapi? Mpaka wakajisahau na kumsimamisha jukwaani kinyume na Mkataba wa Vienna? Sasa ndio tunaanza kupata majibu ya mahaba haya ya hawa wawili.
Baada ya tukio lile la Shinyanga la Balozi wa China kuhudhuria mikutano ya Kinana ni Wachina wangapi wameshakamatwa na Pembe za Ndovu? Ukichunguza kwa makini hapo kuna kitu!
 
limekamatwa na mapambo ya baharini na pembe za ndovu. yaani lina vitu mbalimbali. pembe za ndovu ziliwekwa nyuma ya contena na mapambo ya baharini yakawekwa mbele ya container. Mh. kagasheki anasema;
anatoa shukrani kwa kamishina wa polisi. agent anasema shughuli hii ni ya wachina.
Anasema zanzibar hakuna tembo so hawa wametoka bara. haya meno ya tembo yaliyofungwa hayana tofauti na yale yaliyo kamatwa dar es salaam.
Wote walio husika wataadhibiwa kama mfano. haijalishi mtu yupo serikalini au nje ya serikali.
Anashukuru serikali ya zanzibar na wale walio saidia kuleta taarifa.
Zoezi bado linaendelea la kuhesabu ili kujua idadi yake ni ngapi. mia
 
Kontena lenye urefu wa futi 40 lililojaa pembe za ndovu limekamatwa kisiwani Unguja mchana huu likitokea bandari ya Dar es Salaam.

Mpaka sasa haijajulikana mzigo huo una thamani ya kiasi gani na raia wawili wa Tanzania wamekamatwa kuisaidia polisi .

Kwa mujibu wa Waziri Kagasheki, kontena hilo pia linahisiwa kumilikiwa na raia wa China.

Tukio hilo limeshudiwa na Waziri wa nchi tawala za mikoa Zanzibar pamoja na Waziri wa maliasili na Utalii Balozi Hamisi Kagasheki.

Source: Eatv/ Radio

unafikiri kwanini balozi wa china ana vaa kapero yenye alama ya jembe na nyundo?
 
Huu mtandao wa majangili ni lazima ukomeshwe.haiwezekani kontena likamatwe zr wakati bandarini kuna TR,POLICE wote hao walikuwa hawayaoni hayo!?
 
kinana ni wa kumuogopa sana, ukute hata meno ya ulimboka aliyaagiza yeye, naona akiona meno anasikia kupata wazimu, siku nikikutana naye sitaongea wala kutabasamu, asijeagiza plies iletwe, mwe! mwe! mwe! puuuuuuuuuuuuuuuuuuu chama cha mavi!
 
Meli iliyolibeba inamilikiwa na nani?

Kweli ukishaonja nyama ya binadamu kamwe hutaacha!
 
tembo wanauwawa wakuchukua hatua wanalialia na kutuambia nchi nyingine pia tembo wanakufa!
 
Who will cat the Bell ? Hamna cho chote kitafanywa dhidi ya mtuhumiwa..........ya "vijesenti" mmeyasahau mikelele kibaaao,,,,,kumbe kalaghs bao
 
Sad , poleni TEMBO, Mungu aliwapenda lakini binadamu kawapenda zaid

Mkuu naomba niboreshe kidogo pale ulipo andika " Mungu aliwapenda ila binadamu amewapenda zaidi " pasomeke Mungu aliwapenda lakini KINANA amewapenda zaidi
 
[h=1]Sekta ya utalii: Marekani kupambana na majangili Tanzania[/h]







Posted Alhamisi,Julai4 2013 saa 16:19 PM
Kwa ufupi
Changamoto kubwa kwenye sekta hiyo ni ile ya ujangili na utoroshaji wa wanyamapori hai kwenda nje ya nchi.












Ziara ya Rais Barack Obama wa Marekani nchini, pamoja na mambo mengine inaonekana kuleta ahueni katika sekta ya utalii Tanzania ambayo inakabaliwa na changamoto nyingi.

Changamoto kubwa kwenye sekta hiyo ni ile ya ujangili na utoroshaji wa wanyamapori hai kwenda nje ya nchi.

Obama na utalii

Katika ziara yake Rais Obama anasema Marekani itatangaza vivutio vya utalii Tanzania, lakini kwa kuwa imeelezwa kuwa ujangili na utoroshwaji wa wanyama ni tatizo, Serikali yake itasaidia kupambana na tatizo hilo.

"Tutatangaza utalii, nimeelezwa ujangili na utoroshwaji wa wanyama ni tatizo hivyo Marekani itasaidia kupambana na changamoto hiyo na tutaongeza fedha kuhakikisha hali hiyo inatokomea," anasema Obama.

Suala la ujangili limekuwa likiwahusisha wafanyabiashara wakubwa nchini na kusababisha wanyama wengi wakiwamo tembo kuuwawa kwenye mbuga za wanyama.

Kutokana kuwapo kwa kelele nyingi za kuuwawa kwa tembo nchini, Rais Obama anabainisha kwamba atasaidia kupambana na tatizo hilo. Mwongozo wake wa kupambana na ujangili nchini, atasaidia kuundwa kwa kitengo cha mahakama ngazi ya kitaifa wa ambacho kitakuwa kikizua biashara haramu ya wanyamapori duniani.

Anasema mpango huo utajumuisha dola 10 milioni za Marekani sawa na Sh16 bilioni za Tanzania, ambazo zitatumika mahususi kuzuia ujangili Afrika.

Katika kufanikisha mpango huo, Rais Obama anasema atazungumza na Kitengo cha Huduma za Wanyamapori na Samaki Marekani ili kusaidia Tanzania kupambana na ujangili Tanzania.

"Uharamia huu umefikia hatua ya kushtusha katika miaka ya hivi karibuni, tembo, vifaru, papa na wanyama wengine wanawindwa na kutoroshwa kutoka nchi zinazoendelea na kuuzwa kwa wafanyabiashara matajiri duniani," anasema Rais Obama.

Thamani ya uharamia unaofanywa hivi sasa umefikia dola 7 milioni za Marekani sawa na Sh11.2 bilioni za Tanzania kwa mwaka na kusababisha uharamia kuwa namba tano duniani, baada ya biashara ya dawa za kulevya, usafirishaji binadamu, bidhaa bandia na silaha.

Pia, Rais Obama anasema mahitaji ya viungo vya baadhi ya wanyama, vimesababisha kukua kwa biashara hiyo katika Bara la Afrika na kuathiri rasilimali hiyo.
 
Huu mtandao wa majangili ni lazima ukomeshwe.haiwezekani kontena likamatwe zr wakati bandarini kuna TR,POLICE wote hao walikuwa hawayaoni hayo!?

Itakuwa ngumu maana Jangili namba moja ni Katibu Mkuu Mtendaji wa Chama....Kinana kwanini watumalizia Tembo wetu.....?
 
zanzibar kuna ndovu siku hizi?
kama zimtoka bara zimepitia wapi bila kugundulika?
maafisa forodha wanfanya kazi jamani lol...mleteni huyo mchina tumkate kichwa iwe fundisho
tushachoka sisi
 
Hili suala la katibu mkuu wa CCM kuchafuliwa bila udhibitisho, halikubaliki, CHADEMA acheni siasa chafu, nawakumbusha tena.
What goes around, comes around! Msilalamike kuchafuliwa wakati nyie ndio vinara wa siasa chafu.


Wewe mtumwa mjinga unakataa nini? Kontena zote zilizokamatwa tangu awali ilikuwa nani? Ama umekuwa chizi mpaka unapoteza kumbukumbu m..p.umb...v..u wewe!
 
Back
Top Bottom