Kongwa vs Hai ,wapi kuna maendeleo?

Kongwa vs Hai ,wapi kuna maendeleo?

Linganisha na Hai.
images%20(3).jpg
images.jpg
images%20(7).jpg
images%20(4).jpg
images%20(5).jpg
images%20(2).jpg
 
huo mlinganiosho sema Ndugai na Mbowe!! haaaaa . kuanzia mazingira na uoto wa asili, latitute na longitude, hali ya hewa, vichwa vya wakazi hapo ndio penyewe kongwa vumbi limevuruga vichwa sana macho hayaoni!! tongotongo kibaao utalinganisha wazee wa chapaa!! acha mchezo! Hai habari ingine - hata jina HAI!! Mana yake Juuu!!
 
Nimemsikia Spika Ndugai wa jimbo la Kongwa amesema mh Mbowe alikuwa anazurura na hakuna alichokifanya wakati akiwa mbunge wa Hai kule Hai

Tunaangalie maendeleo katika majimbo mawili kwa wale waliowahi kufika majimbo haya mawili

1,Barabara za Halmashauri na TANROADS za Hai na Kongwa zikoje (Barabara za lami) ni km ngapi

2,Huduma ya afya,hospital, zahanati na vituo vya afya

3,Elimu,miundo mbinu ya shule za awali,msingi,sekondari na vyuo vikoje majimbo mawili

4,Maji,asilimia ngapi ya wananchi wa Kongwa na Hai wanapata maji safi,maji ya bomba na miundombinu yake

5,Shughuli za kibiashara,kilimo,ufugaji na kipato,na masoko,minada ,pia tuangalia ni Jimbo gani kati ya Hai na Kongwa kuna mazingira mazuri katika shughuli orodheshwa na kipato kutokana na shughuli husika

6,Watumishi wa umma,wapi watumishi wa umma wanapewa makazi bora ,support na matokeo mazuri kwa huduma zitolewazo na watumishi wa umma

7,Umeme,tuangalie usambazaji wa umeme wa REA na vijiji vingapi vimepata umeme kwa kila jimbo na vingapi bado

Wale ambao mnayafahamu haya majimbo haya mawili tunaomba mtuwekee data za majimbo haya mawili ili tuondoa utata wa walichofanya Spika Ndugai na mh Mbowe kwenye majimbo hayo mawili
P
 
Hii hoja inanikumbusha zile Cinema za Cowboy miaka ya 60's...Farasi Mweupe na Farasi Mweusi yupi anakimbia zaidi...au ukiitwa Farasi ulikuwa huchukii lakini ole wake akuite Punda..
Usijifiche kwenye kivuli cha farasi. Kongwa na Hai nisawa na usingizi na kifo. Wilaya ya kongwa ni masikini sana watu wake na maendeleo kule hakuna watu wanakunya porini
 
P
Karibu Pascal Mayala, nitaanza tena kusoma posts zako hapa, nilikuwa likizo kidogo
 
333.300x200.jpeg

Kwa wale wasiojua Viwavijeshi ndio vimejaa kwenye ubongo wa Spika ya Redio
 
Nimemsikia Spika Ndugai wa jimbo la Kongwa amesema mh Mbowe alikuwa anazurura na hakuna alichokifanya wakati akiwa mbunge wa Hai kule Hai

Tunaangalie maendeleo katika majimbo mawili kwa wale waliowahi kufika majimbo haya mawili

1,Barabara za Halmashauri na TANROADS za Hai na Kongwa zikoje (Barabara za lami) ni km ngapi

2,Huduma ya afya,hospital, zahanati na vituo vya afya

3,Elimu,miundo mbinu ya shule za awali,msingi,sekondari na vyuo vikoje majimbo mawili

4,Maji,asilimia ngapi ya wananchi wa Kongwa na Hai wanapata maji safi,maji ya bomba na miundombinu yake

5,Shughuli za kibiashara,kilimo,ufugaji na kipato,na masoko,minada ,pia tuangalia ni Jimbo gani kati ya Hai na Kongwa kuna mazingira mazuri katika shughuli orodheshwa na kipato kutokana na shughuli husika

6,Watumishi wa umma,wapi watumishi wa umma wanapewa makazi bora ,support na matokeo mazuri kwa huduma zitolewazo na watumishi wa umma

7,Umeme,tuangalie usambazaji wa umeme wa REA na vijiji vingapi vimepata umeme kwa kila jimbo na vingapi bado

Wale ambao mnayafahamu haya majimbo haya mawili tunaomba mtuwekee data za majimbo haya mawili ili tuondoa utata wa walichofanya Spika Ndugai na mh Mbowe kwenye majimbo hayo mawili
Kongwa imeendelea kwa mtizamo wa Spika msimlaumu ndio upeo wake
 
Kongwa kumejaa ombaomba wengi na Hai kumejaa wachapakazi
 
Nimemsikia Spika Ndugai wa jimbo la Kongwa amesema mh Mbowe alikuwa anazurura na hakuna alichokifanya wakati akiwa mbunge wa Hai kule Hai

Tunaangalie maendeleo katika majimbo mawili kwa wale waliowahi kufika majimbo haya mawili

1,Barabara za Halmashauri na TANROADS za Hai na Kongwa zikoje (Barabara za lami) ni km ngapi

2,Huduma ya afya,hospital, zahanati na vituo vya afya

3,Elimu,miundo mbinu ya shule za awali,msingi,sekondari na vyuo vikoje majimbo mawili

4,Maji,asilimia ngapi ya wananchi wa Kongwa na Hai wanapata maji safi,maji ya bomba na miundombinu yake

5,Shughuli za kibiashara,kilimo,ufugaji na kipato,na masoko,minada ,pia tuangalia ni Jimbo gani kati ya Hai na Kongwa kuna mazingira mazuri katika shughuli orodheshwa na kipato kutokana na shughuli husika

6,Watumishi wa umma,wapi watumishi wa umma wanapewa makazi bora ,support na matokeo mazuri kwa huduma zitolewazo na watumishi wa umma

7,Umeme,tuangalie usambazaji wa umeme wa REA na vijiji vingapi vimepata umeme kwa kila jimbo na vingapi bado

Wale ambao mnayafahamu haya majimbo haya mawili tunaomba mtuwekee data za majimbo haya mawili ili tuondoa utata wa walichofanya Spika Ndugai na mh Mbowe kwenye majimbo hayo mawili
Hai maendeleo hakufanya mbowe kama mbunge ni wananchi walihamasika mapema kuwa na maendeleo ,ni sawa na Mbeya hivyo maendeleo hayo hayajatokana na mbunge,huu ndio ukweli,si ndiyo ndugu yangu!
 
Hai maendeleo hakufanya mbowe kama mbunge ni wananchi walihamasika mapema kuwa na maendeleo ,ni sawa na Mbeya hivyo maendeleo hayo hayajatokana na mbunge,huu ndio ukweli,si ndiyo ndugu yangu!
Sasa kwanini Spika anamwonea sana Mbowe, kama vile amemzidi kila kitu?
 
Kuna nyumba ya tope alafu wameweka geti ..sijui wanaogopa kuibiwa nini
 
Back
Top Bottom