Kongwa vs Hai ,wapi kuna maendeleo?

Kongwa vs Hai ,wapi kuna maendeleo?

Kwanza asingekuwa Mwendazake kumtetea jimboni kwake nakumbuka (kama sikusahau) wananchi waliwahi kumkataa mbele yake! Na ili kuokoa jahazi nadhahani ni mmoja wa Wabunge waliopita bila kupingwa.
Bila kutumia viboko vya kupiga wapinzani wake wananchi wa kule jimboni kwake nadhani walimkataa tangu zamani.
 
Nimemsikia Spika Ndugai wa jimbo la Kongwa amesema mh Mbowe alikuwa anazurura na hakuna alichokifanya wakati akiwa mbunge wa Hai kule Hai

Tunaangalie maendeleo katika majimbo mawili kwa wale waliowahi kufika majimbo haya mawili

1,Barabara za Halmashauri na TANROADS za Hai na Kongwa zikoje (Barabara za lami) ni km ngapi

2,Huduma ya afya,hospital, zahanati na vituo vya afya

3,Elimu,miundo mbinu ya shule za awali,msingi,sekondari na vyuo vikoje majimbo mawili

4,Maji,asilimia ngapi ya wananchi wa Kongwa na Hai wanapata maji safi,maji ya bomba na miundombinu yake

5,Shughuli za kibiashara,kilimo,ufugaji na kipato,na masoko,minada ,pia tuangalia ni Jimbo gani kati ya Hai na Kongwa kuna mazingira mazuri katika shughuli orodheshwa na kipato kutokana na shughuli husika

6,Watumishi wa umma,wapi watumishi wa umma wanapewa makazi bora ,support na matokeo mazuri kwa huduma zitolewazo na watumishi wa umma

7,Umeme,tuangalie usambazaji wa umeme wa REA na vijiji vingapi vimepata umeme kwa kila jimbo na vingapi bado

Wale ambao mnayafahamu haya majimbo haya mawili tunaomba mtuwekee data za majimbo haya mawili ili tuondoa utata wa walichofanya Spika Ndugai na mh Mbowe kwenye majimbo hayo mawili
Hapa Boma sisi tuna Alkasusu bora zaidi kanda ya kaskazini! Tuendelee kutaja moja moja!
 
Nimemsikia Spika Ndugai wa jimbo la Kongwa amesema mh Mbowe alikuwa anazurura na hakuna alichokifanya wakati akiwa mbunge wa Hai kule Hai

Tunaangalie maendeleo katika majimbo mawili kwa wale waliowahi kufika majimbo haya mawili

1,Barabara za Halmashauri na TANROADS za Hai na Kongwa zikoje (Barabara za lami) ni km ngapi

2,Huduma ya afya,hospital, zahanati na vituo vya afya

3,Elimu,miundo mbinu ya shule za awali,msingi,sekondari na vyuo vikoje majimbo mawili

4,Maji,asilimia ngapi ya wananchi wa Kongwa na Hai wanapata maji safi,maji ya bomba na miundombinu yake

5,Shughuli za kibiashara,kilimo,ufugaji na kipato,na masoko,minada ,pia tuangalia ni Jimbo gani kati ya Hai na Kongwa kuna mazingira mazuri katika shughuli orodheshwa na kipato kutokana na shughuli husika

6,Watumishi wa umma,wapi watumishi wa umma wanapewa makazi bora ,support na matokeo mazuri kwa huduma zitolewazo na watumishi wa umma

7,Umeme,tuangalie usambazaji wa umeme wa REA na vijiji vingapi vimepata umeme kwa kila jimbo na vingapi bado

Wale ambao mnayafahamu haya majimbo haya mawili tunaomba mtuwekee data za majimbo haya mawili ili tuondoa utata wa walichofanya Spika Ndugai na mh Mbowe kwenye majimbo hayo mawili
Hii hoja inanikumbusha zile Cinema za Cowboy miaka ya 60's...Farasi Mweupe na Farasi Mweusi yupi anakimbia zaidi...au ukiitwa Farasi ulikuwa huchukii lakini ole wake akuite Punda..
 
Kongwa maisha magumu hadi wapiga kura wa Ndugai wanakamata viwavi jeshi wanawachemsha wanakula na ugali.
Movie ya Kula moja au Mambo yangu ndio sahihi hapa vp

IMG-20210409-WA0013.jpg
 
Back
Top Bottom