Hahahaha hana tofauti na anaesikiliza BBC🤣🤣🤣Rubbish! Ukionamtu anatazama TBC ujue kichwani kuna shida
Hahahaha hana tofauti na anaesikiliza BBC🤣🤣🤣Rubbish! Ukionamtu anatazama TBC ujue kichwani kuna shida
Mkuu Tindo,Mkuu sijawahi kutazama hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura hata kwa bahati mbaya. Nimelipuuza kwa kiwango Cha juu, hivyo siwezi kupoteza muda wangu kuangalia huo uchafu.
Hii ni hatari sana!Ni kweli kabisa..
JUst imagine kichwa kama Mwakyembe kingekuwa Upinzani ,Pamoja na Paramagamba..?
Tulia kwa sasa anarelax sana...
Juzi nimesikitika kuona mwanasheria mkuu naye pia kuna baadhi ya vitu haelewi sasa kuna haja gani ya yeye kuwa bungeni?
BBC ni world class news outlet! Ukiongea hivyo unanipa mashaka na weledi wako! Kesho utasema Aljazeera, na CNN and the like utasema ni chini ya TBCHahahaha hana tofauti na anaesikiliza BBC🤣🤣🤣
Hiyo world class dish lake liliyumba kuelekea sehemu moja,si huru. Ndo maana nikasema hivo. Maana taarifa zake za mchongo.BBC ni world class news outlet! Ukiongea hivyo unanipa mashaka na weledi wako! Kesho utasema Aljazeera, na CNN and the like utasema ni chini ya TBC
Wewe unaiamini Xinhua
Basi afadhali maiti wa BBC kuliko wa TBCHiyo world class dish lake liliyumba kuelekea sehemu moja,si huru. Ndo maana nikasema hivo. Maana taarifa zake za mchongo.
Serkali ya sasa hivi inajiendea tu kama kuku aliyekatwa kichwa ukitaka kujua Angalia Hizo ziara za makonda utagundua luna maovu mengi sanaHii ni hatari sana!
Unajua kuna muda mpaka unabaki unashangaa. Mfano makonda alipokuwa kigoma jana, kuna Diwani alisimamishwa tangu mwaka 2021 kisa amekutwa si raia wa Tanzania. Mwaka wa 3 raia hawana diwani, mkurugenzi anaulizwa hakuna analojibu.
Nikasema laiti kama angekuwa mzee baba hayati magufuli watu wengi wangeondoka sema kakosa full power.
Umemfanyia medical check up lini?Tundu kwa sasa hana kitu.
Ameathirika sanaaaa kisaikolojia.
Angepumzika angekuwa fit sana hapo baadaye.
Tulia ni mdogo sana kwa Tundu Lissu, hivi inakuwaje mnaropoka tu kabla hamjapitia CV za watu?Lissu ni mwanafunzi wa Tulia.
LISSU anachomshinda Tulia, ni kuwa upande sahihi wenye uhuru na HAKI.
Si vyema kuingiza siasa kwenye profession!Tulia ni mdogo sana kwa Tundu Lissu, hivi inakuwaje mnaropoka tu kabla hamjapitia CV za watu?
Acheni kusifia watu wasio waadilifu. Uadilifu ndo usomi in action mengine ni mbwembwe tu.Spika Tulia kaiva sana kwenye suala kutafiri Sheria, naangalia hapa Bunge live wanapitisha muswada wa tume ya uchaguzi naona anamtoa knout mpaka AG huyu dada ni balaa wabunge wote wanampigia makofi.
Mbeya tunasema Tulia mitano tena.
Point.Acheni kusifia watu wasio waadilifu. Uadilifu ndo usomi in action mengine ni mbwembwe tu.
Mbona msomi kashindwa kutafsiri amri ya mahakama which is so simple, kuwatoa COVID 19, bungeni?
Hatutaki usomi wa ki interest , tunataka uadilifu wa kisomi.
Hawa UWT hawana akiliSasa ndio umesema nini? Umeandika ulichoona wewe bila kutuambia umeona nini, unapoteza tu space za JF. Kama walengwa wako ni hao walioona kama wewe, kuna haja gani ya kupost? Kaongeze elimu.
Watu wanapiga makofi posho zimeongeza badala wakae bungeni siku 14 sasa ni 21 x 470,000 = 9,870,000 + 16,000,000 Grand total 25,870,000 hiyo ni February pekee nje na rushwa na takataka zinginePengine hujaelewa kitu, hapigiwi makofi Tulia kama Tulia kinachopigiwa makofi ni kiti Cha Spika ambacho ni mamlaka ,Hata ungekuwa wewe ndio umekaa juu ya hicho kitu ungepigiwa makofi hata kama hujui sheria
Hata kwenye darasa la wajinga, kunakuwepo wa afadhali.Spika Tulia kaiva sana kwenye suala kutafiri Sheria, naangalia hapa Bunge live wanapitisha muswada wa tume ya uchaguzi naona anamtoa knout mpaka AG huyu dada ni balaa wabunge wote wanampigia makofi.
Mbeya tunasema Tulia mitano tena.
Ata Mimi mkuu Jana Tulia akataja mischief nikakumbuka mbali Sana legal methodKuijua sheria ni raha sana.
Binafsi hakuna mtu anayenitisha kwenye maisha kwa sababu ninaijua sheria.
Dr. Tulia akikuwa moja ya walimu wangu.
Wengine ni Prof. Kabudi, P.J.A.M, Prof. Luoga F, etal
Mkuu jana bunge lilikuwa la watu wachache Tulia ndo alikua amelitawalaMkuu Dr,
Hakika usemayo ni ukweli mtupu.
Kama jana angekuwepo mheshimiwa Tundu lissu bungeni, ndani kule watu wangekuwa wananyukana kwa hoja tu.
Nimetazama bunge lakini Tulia ni mtu makini sana ukweli pale bungeni hana challenge haswa kwa wabunge wakike wengi bado hawawezi kujenga hoja.
Kuna kadada fulani ni kembamba huwa mara nyingi anaongelea haswa kuhusu vijana yule dada ni mtu smart sana ila jina limentoka.
uchaguzi ujao tunategemea upinzani watapata viti vingi ili tupate hoja ambazo zimekosekana kwa muda.
Hivi wewe jamaa akili zako zipo vizuri? Unamfananisha Tundu Lissu na Tulia ni habari nyingine wewe uliza UDSM yule walimwacha pale afundisheTulia ni mdogo sana kwa Tundu Lissu, hivi inakuwaje mnaropoka tu kabla hamjapitia CV za watu?