Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,108
- 9,216
Spika Tulia kaiva sana kwenye suala kutafiri Sheria, naangalia hapa Bunge live wanapitisha muswada wa tume ya uchaguzi naona anamtoa knout mpaka AG huyu dada ni balaa wabunge wote wanampigia makofi.
Mbeya tunasema Tulia mitano tena.
Mbeya tunasema Tulia mitano tena.