Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
cha ajabu unaowasikia kwenye chat wanaishia utubeKwenye mziki wa kisasa, kipaji pekee ama vocals sio kitu tosha kitakachompa msanii mafanikio.
Nikupe mfano tu, Peter Msechu unamsikia kwenye matukio kama haya ya msiba, lakini rotation ya nyimbo zinazopigwa kila siku kwenye chat yupo?
Hana consistency kwenye game hawezi kupewa front row seats kama Diamond au mwingine...
na wewe binafsi hauwezi toa hela kununua nyimbo zao kwenye streams mbalimbali, so wanapataje hela?
umesema sahihi is not about vocals kuna vingi sana, katika hivyo vingi hauwezi mlaumu tu mtu
wanaofaidika na muziki wanajijua
Tanzania ina vipaji vingi sana