N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.
Disclaimer: picha sio yangu ya mwenye picha yake alieipiga Dodoma huko.
View attachment 1731973
Disclaimer: picha sio yangu ya mwenye picha yake alieipiga Dodoma huko.
View attachment 1731973