Kongole sana Peter Msechu

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.

Disclaimer: picha sio yangu ya mwenye picha yake alieipiga Dodoma huko.
View attachment 1731973

download%20(1).jpg
 
Kwahiyo unaendeshwa na matukio kwa akili hii unaweza ukaja sema Harmorapa msanii bora kuliko Kiba akitoa nyimbo kali.
 
This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.

Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Apunguze uzito
 
This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.

Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Kwenye mziki wa kisasa, kipaji pekee ama vocals sio kitu tosha kitakachompa msanii mafanikio.

Nikupe mfano tu, Peter Msechu unamsikia kwenye matukio kama haya ya msiba, lakini rotation ya nyimbo zinazopigwa kila siku kwenye chat yupo?

Hana consistency kwenye game hawezi kupewa front row seats kama Diamond au mwingine...
 
Alafu uwezi fananisha nyimbo ya wasanii wote na msanii mmoja, unapokuja kuangalia wimbo wa msanii mmoja linganisha na msanii mmoja kama Vanny, Jux maana uwo wa wote hata uyo msechu alikuwepo.

Usanii bora hauwendi kwa wimbo mmoja wapo wasanii waliodanya vizuri kwenye nyimbo moja Sam Waukweli Sina Raha, Mo Music Basi nenda...usanii bora ni all time kama Mond
 
Alafu uwezi fananisha nyimbo ya wasanii wote na msanii mmoja, unapokuja kuangalia wimbo wa msanii mmoja linganisha na msanii mmoja kama Vanny, Jux maana uwo wa wote hata uyo msechu alikuwepo.

Usanii bora hauwendi kwa wimbo mmoja wapo wasanii waliodanya vizuri kwenye nyimbo moja Sam Waukweli Sina Raha, Mo Music Basi nenda...usanii bora ni all time kama Mond
Sawa, itakuwa tu mpangilio wangu lakini nalenga kusema kama individual artist he's underrated. Hao kina mond mbona hawana viwango japo vya kuwafikia artists wengi tu humu nchini,good management inamsaidia
 
Ni bonge la musician ana high pitch mama Maher Zain sema kwa Hii Ekweme Cover kazingua Kiukweli
 
This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.

Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Tatizo la Msechu ni Msechu mwenyewe watu wanamkubali ila yeye hana time nao
 
Kwenye mziki wa kisasa, kipaji pekee ama vocals sio kitu tosha kitakachompa msanii mafanikio.

Nikupe mfano tu, Peter Msechu unamsikia kwenye matukio kama haya ya msiba, lakini rotation ya nyimbo zinazopigwa kila siku kwenye chat yupo?

Hana consistency kwenye game hawezi kupewa front row seats kama Diamond au mwingine...
Ni sahihi nakubaliana nawe huyu chibonge anakosa consistency of which nawaza kwamba possible hana good management
 
This young man is a good artist sijui kwanini hakubaliki sana kwenye contemporary bongo music. Nimeusikiliza wimbo wake 'umetuacha imara' kama tribute to the late JPM nikagundua he's a smart singer kuliko hata wimbo wa akina mond na wenzake pia ngoma zake nyingi ziko bomba and he has the vocals.

Disclaimer: picha sio yangu View attachment 1731028
Mkuu hii picha uliyoweka ni ya zamani sana picha yake ya jana akiwa msibani hii hapa..
 

Attachments

  • IMG-20210322-WA0014.jpg
    IMG-20210322-WA0014.jpg
    15.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom