THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Rushwa ni adui wa haki sitakubali kutoa wala kupokea rushwa.Anasema turudi kwenye imani ya mwana Tanu.
1) Binadamu wote ni sawa
Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote.(GONE WERE THOSE DAYS)