Kondoo na radi

Kondoo na radi

Katika Ulimwengu wa giza radi ni Vita ya kuzimu, katika Bible walitumia mwana kondoo wa Mungu
Shetani naye hupita humohumo kwakuwa shetani ni mlaaniwa wa Mungu kwa Kumtumia mnyama yuleyule mwenye utii amekitumia Kichwa chake kama alama yake muhimu
Kondoo anayetajwa kwenye Bible hana mapembe huyu ni mtii, kondoo atumiwaye na shetani ana mapembe

Sasa radi ikipiga inasababisha vita gani kuzimu ni kati ya mashetani yenyewe au?
 
Hii kitu nimeishuhudia live kabisa kijijini, kuna imani za kishirikina ndani yake lakini na kishetani pia kwakuwa kimsingi Kichwa cha kondoo ni alama muhimu ya shetani
Ukiacha kisayansi radi huwa inahusishwa na kuzimu hivyo kondoo kama sehemu ya utawala wa huko naye hujiandaa kupambana


mkuu,juzi tu hapa ulitoa mada kuhusu kichwa cha ,mbuzi,ukakifananisha ya alama ya kishetani ukatia ufanano na mchoro wa uke,leo ni kondoo na siyo mbuzi tena
 
Hii kitu nimeishuhudia live kabisa kijijini, kuna imani za kishirikina ndani yake lakini na kishetani pia kwakuwa kimsingi Kichwa cha kondoo ni alama muhimu ya shetani
Ukiacha kisayansi radi huwa inahusishwa na kuzimu hivyo kondoo kama sehemu ya utawala wa huko naye hujiandaa kupambana
Naona wewe kidogo una utaalamu ,kuna hii ndoto naiota mara kwa mara niko na kiongozi mkubwa wa nchi tunatia story ,naomba unipe maana yake plz.
 
mkuu,juzi tu hapa ulitoa mada kuhusu kichwa cha ,mbuzi,ukakifananisha ya alama ya kishetani ukatia ufanano na mchoro wa uke,leo ni kondoo na siyo mbuzi tena

Ni uzao mmoja kwakuwa wote wapo kundi moja
 
Naona wewe kidogo una utaalamu ,kuna hii ndoto naiota mara kwa mara niko na kiongozi mkubwa wa nchi tunatia story ,naomba unipe maana yake plz.

Kuna kitu Kikubwa kizuri kitakutokea
 
Ni uzao mmoja kwakuwa wote wapo kundi moja


Avae sasa unatudanganya siyo kundi mmoja kiimani.

Kondoo hutumika katika sadaka ya wazi na ya ki Mungu ya Mwanga. Kondoo ni mpole, na huguna tu anapochinjwa kama sadaka

Mbuzi ni kinyume chake na ndio maana hutumika na wale waupande wa giza. Mbuzi hata ukimshika tu mguu atapiga kelele mpaka majirani waamke, ni mkorofi ni kipenzi wa sadaka ya giza.

Avae unajua sana haya kwa nini usisme kweli? Na baba wa uongo ni yule wa giza
 
Avae sasa unatudanganya siyo kundi mmoja kiimani.

Kondoo hutumika katika sadaka ya wazi na ya ki Mungu ya Mwanga. Kondoo ni mpole, na huguna tu anapochinjwa kama sadaka

Mbuzi ni kinyume chake na ndio maana hutumika na wale waupande wa giza. Mbuzi hata ukimshika tu mguu atapiga kelele mpaka majirani waamke, ni mkorofi ni kipenzi wa sadaka ya giza.

Avae unajua sana haya kwa nini usisme kweli? Na baba wa uongo ni yule wa giza

Ulichokiongea ni tabia lakini vichwa vya wote wawili hasa madume ndio hutumika kwenye mambo ya giza
Madume ni jeuri katili na wabishi na hapa ndipo shetani anapotia mguu wake angalia michoro
 
Ulichokiongea ni tabia lakini vichwa vya wote wawili hasa madume ndio hutumika kwenye mambo ya giza
Madume ni jeuri katili na wabishi na hapa ndipo shetani anapotia mguu wake angalia michoro

1444615054331.jpg 1444615066008.jpg hivi ni vichwa vya kondoo 1444615106543.jpg 1444615126913.jpg hivi ni vya mbuzi
Picha ifuatayo Natanguliza kuomba radhi sina maana ya kukejeli, ni picha inayohusisha sehemu zasiri na Kichwa cha kondoo dume 1444615281996.jpg na ndio maana ngono ni sehemu ya ibada muhimu ya kwenye dini ya mashetani
 
View attachment 297698View attachment 297699hivi ni vichwa vya kondooView attachment 297700View attachment 297701hivi ni vya mbuzi
Picha ifuatayo Natanguliza kuomba radhi sina maana ya kukejeli, ni picha inayohusisha sehemu zasiri na Kichwa cha kondoo dume View attachment 297702na ndio maana ngono ni sehemu ya ibada muhimu ya kwenye dini ya mashetani

Mshana jr kwanini ngono ni sehemu kubwa katika ibada za shetani, ikiwa pamoja na ile ya kufanya kinyume cha maumbile? Msaada tafadhari
 
Mshana jr kwanini ngono ni sehemu kubwa katika ibada za shetani, ikiwa pamoja na ile ya kufanya kinyume cha maumbile? Msaada tafadhari

Ndio dhambi ya asili dhambi inayosadikika kutendwa kwa mara ya kwanza na mwanadamu kwa ulaghai wa sheatani
 
Rohombaya upo sahihi kabisa kisayansi mimi nimejikita kwenye Ulimwengu wa giza nimechangia kwa muktadha huo
Labda niseme kuwa sauti za radi ndani ya Satanism na kama ni wakati wa ibada na kuna Kichwa cha kondoo dume au beberu wakati ibada ikiendelea ni ishara ya kukubaliwa maombi yao toka kuzimu
Khaa!! Prof Mshanajr kwa kweli miye huwa sioni kwenye ulimwengu wa giza..

https://scienceinquirer.wikispaces.com/file/view/MisconceptionsAboutLightning.pdf


:glasses-nerdy:
 
Back
Top Bottom