Kondoo dume anaitwaje

Kondoo dume anaitwaje

ng'homango

Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
10
Reaction score
2
naomba kuelimishwa juu ya mnyama huyu:
mbuzi dume anaitwa 'beberu', na kondoo dume aitwaje? tupia jibu tusaidiane kupambana na adui 'ujinga' maana kanisumbua kwa muda sasa.....
 
Back
Top Bottom