leo nimekutana kwa mara ya kwa na konda wa daladala mkweli alikuwa anapiga debe hivi
konda; twende kariakoo ya kuna nafasi za kusimama ....haya wale wakuchelea kariakoo ya kuchelewa hiyo twende...kama uwezi kusimama achia ngazi....hakuna kituo cha msaada umu
konda; twende kariakoo ya kuna nafasi za kusimama ....haya wale wakuchelea kariakoo ya kuchelewa hiyo twende...kama uwezi kusimama achia ngazi....hakuna kituo cha msaada umu