Zatara
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 716
- 511
Daladala iliondoka kariakoo kufika magomeni
konda akauliza:
kuna mtu anashuka?
Abiria mmoja akajibu:
tumeziacha nyumban labda mitandio.
Daladala ikawa inakaribia maziwa, yule abiria alosema wameacha nyumbani,akawa ana shuka hapo
akasema:
konda nashuka maziwa!: konda akamjibu:
itabidi urudi kariakoo ukanunue sidiria!
konda akauliza:
kuna mtu anashuka?
Abiria mmoja akajibu:
tumeziacha nyumban labda mitandio.
Daladala ikawa inakaribia maziwa, yule abiria alosema wameacha nyumbani,akawa ana shuka hapo
akasema:
konda nashuka maziwa!: konda akamjibu:
itabidi urudi kariakoo ukanunue sidiria!