johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,988
Haya maneno alishasema Balozi Polepole kwenye Shule ya Uongozi
Hivyo miaka 3 ya Elimu mwa Umma, miaka 2 ya mchakato va kukusanya maoni ya Wananchi na mwaka 1 wa Bunge la Katiba basi tutegemee kuipata Katiba Mpya mwishoni mwa mwaka 2029
Ahsanteni sana 😄😄
Hivyo miaka 3 ya Elimu mwa Umma, miaka 2 ya mchakato va kukusanya maoni ya Wananchi na mwaka 1 wa Bunge la Katiba basi tutegemee kuipata Katiba Mpya mwishoni mwa mwaka 2029
Ahsanteni sana 😄😄